mkuu unaikumbuka ile kitu uliyoniuliza kwamba huyu ni mtu mzima au? Sasa kwa ile Sura ukivaa na Wigi utaonekana kama nini?
kama fulani ingawa anavaa lakini akigeuka bado liko pale pale, Ukichanganya kuungana kwa Mgongo na Makalio, ongeza na Kandambili kifuani hakika unaweza kudhani ni mpoki katika maigizo.. Harafu eti mimi mzuri, mzuri wakati kichwani umeficha mapunyepunye
Mshakula kama vinne hivi...bila majibu....wanawake wenye hips za tumbo na mawigi ya nik minaji...
Te teh..i wish nkuone evelyn na lile wigi lako la kipind kileee
Hapa wigi la kijani, kope nmebandika, kucha nmebandika, lipstick ya njano utanitaka babuuu
Hapa wigi la kijani, kope nmebandika, kucha nmebandika, lipstick ya njano utanitaka babuuu
Unalazimisha sasa, ushauri haulazimishwi wala Ombi halilazimishwi. Kila mtu anacho anachotaka na sio lazima kimvutie mwingine, huna cha kufanya mtu akiamua kuvaa wig labda awe mkeo utamvua maana wengine hawajali kama huvutiwi
Mara nyingi wanawake wanashindana wenyewe maana hakuna mwanaume anayejua wigi la human hair au la laki 3 ila mwanamke mwenzie atajua na kumsifia. Sio mara zote lengo wewe uvutiwe so yanakuwa hayakuhusu
Na zile za machoni hujapaka bado?
Teh teh utakuwa kama bendera ya chadema...
Alafu unataka mwanaume original..
Tena uzuri wigi lako lipo unique, hata ukigeuka lenyewe linabaki tu straight hahhahahah a hahahha hii week ipite kabla watu hawajanihamishia mirembe
PesaNdogo unavyotetea mawigi mpaka unanipa raha! Vipi leo unavaa la rangi gani vile!!
Ha ha ha ha ha haaa, labda ni uchafu binafsi
Pesa ndogo hakuna kitu kibaya kama mtu mbishi na urembo umewazidi nguvu wanawake wamekosa mwelekeo ndiyo Ile dalili za kutapa na manywele ya vibudu hebu jiulize unakutana na ndugu zetu wenye hizi nywele utajisikiaje?utaonekane mpumbavu Wa akili na kifikra na kukosoa uumbaji Wa mungu shame shame all girls around the world wearing deads hair.
Ni kutojitambua tu, mawigi ni ulimbukeni
Hebu fuatilia vizuri process ya uzalishaji nywele, hakuna mfu anayehusika. Ila kwa kuwa umewamaindi wanaovaa za wafu basi wakusikie.
Wala sina nia hiyo ila hamjitambui kabisa hamjiamini nikujizalilisha wenyewe wala siwapendi hata kuongozana na nyie mkiwa mmevaa mawigi maana nitaonekana na mm akili zinafanana aibu kwenu na janga linalo uwa utamaduni Wa kiafrica
Ah hahahahahah sonko umenivunja mbavu,yaan hawa dada zetu wangejijua kwakweli wasingevaa kabisa,hakuna kitu kinanitiaga hasira kama wife akiniomba hela ya mawigi.Mda mwingine zinanyofoka, zinaua stimu kabisa,
Wala sina nia hiyo ila hamjitambui kabisa hamjiamini nikujizalilisha wenyewe wala siwapendi hata kuongozana na nyie mkiwa mmevaa mawigi maana nitaonekana na mm akili zinafanana aibu kwenu na janga linalo uwa utamaduni Wa kiafrica
Pesa ndogo mama wa mawig