Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
Hellow afracan,
Wanawake mnakuwaga chanzo cha watoto kukosa huduma zao za msingi kutoka kwa baba zao kwasababu ya kauli zenu, kuna wanawake ambao huwa hawajitambui ukisha zaa na mtu unajua hali yake kwanini usimvumilie kulingana na hali yake kwa nyakati ambazo amekwama kiuchumi au anapokuambia hana hela.
Wanaume tumekuwa tukibebeshawa mizigo zito sana hasa hawa walio zaa waki nyumbani kwa wazazi wao hupandikiza chuki kwa watoto kuwa baba yako ni babu yako huyu baba yako hakupendi hakujali ata nguo ya shule anashindwa kukununulia wakati uho mama mtoto katumiwa pesa amekula badala yake anapandikiza chuki kwa watoto na wazazi.
Kama umezaa na mwanamke mchukue mtoto wako ishi nae mpeleke hata kwa mama yako akae huko hawa wanawake wanafanya sisi wanaume tuonekane hatimizi majuku yetu.
Huwa nachukia sana wanawake ambao wanapandikiza chuki kwa watoto ili baba achukie na watoto au mtoto huu ni uaji na ukatili usio vumilika.
Wanawake mnakuwaga chanzo cha watoto kukosa huduma zao za msingi kutoka kwa baba zao kwasababu ya kauli zenu, kuna wanawake ambao huwa hawajitambui ukisha zaa na mtu unajua hali yake kwanini usimvumilie kulingana na hali yake kwa nyakati ambazo amekwama kiuchumi au anapokuambia hana hela.
Wanaume tumekuwa tukibebeshawa mizigo zito sana hasa hawa walio zaa waki nyumbani kwa wazazi wao hupandikiza chuki kwa watoto kuwa baba yako ni babu yako huyu baba yako hakupendi hakujali ata nguo ya shule anashindwa kukununulia wakati uho mama mtoto katumiwa pesa amekula badala yake anapandikiza chuki kwa watoto na wazazi.
Kama umezaa na mwanamke mchukue mtoto wako ishi nae mpeleke hata kwa mama yako akae huko hawa wanawake wanafanya sisi wanaume tuonekane hatimizi majuku yetu.
Huwa nachukia sana wanawake ambao wanapandikiza chuki kwa watoto ili baba achukie na watoto au mtoto huu ni uaji na ukatili usio vumilika.