Wanawake acheni kugawa mzigo ovyo

Wanawake acheni kugawa mzigo ovyo

Hiyo ni kweli. Zimekuwa bwelele mno, ukiwa na wadhifa kidogo tu, hela ya kula, nauli, vocha, hukosi k. Tena wale wenye mishepu na wake au mademu wa wanaume vibonge, ndio mteremko kinoma. Piga mkono, omba namba, ita gheto, tayari.
 
ukiandika uzi kama huu ujuwe kuwa wewe una mama na dada na shangazi je wote unawaambia hivyo?
 
Harafu wasipogawa wao upo tayar kutoa section B. kama backup.... Acha kuwapangia hawakuhusu
 
Daby hilo nalo la kuuliza kama uko kwenye social networks? . Hilo halihitaji connections kabisa!
Mkuu nyie mnawapata wapi hawa wanaowapatia hovyo hovyo mie nimezunguka PM miaka na miaka sipati??

Siku hizi mnaandika nyuzi za kuwa abuse wanawake mmmh.
 
Daby hilo nalo la kuuliza kama uko kwenye social networks? . Hilo halihitaji connections kabisa!
Mkuu Idimi si kama kuna watu wanasema vyuma vimekaza sasa kuna wale kwao ndiyo hali imeimarika zaidi wanashangaa vyuma vipi vilivyokaza?

Ndicho kinachonikuta.
 
Uwe unafikiri kwanza kabla hijapost humu.. sasa wakiacha kugawa ovyo tutaishije?? We baharia wa wapi
 
Uwe unafikiri kwanza kabla hijapost humu.. sasa wakiacha kugawa ovyo tutaishije?? We baharia wa wapi
Ndipo utakapooa sasa.
Mleta uzi ana hoja ya msingi ila wazinzi mmeamua kumshambulia
 
umesomeka kamanda!
Mkuu Idimi si kama kuna watu wanasema vyuma vimekaza sasa kuna wale kwao ndiyo hali imeimarika zaidi wanashangaa vyuma vipi vilivyokaza?

Ndicho kinachonikuta.
 
Labda kama mwanamke katokea kukupenda sana/malaya/mwenye shida na pesa lakin dem anayejielewa + kisomo mhh had kuja kuupata mzgo ujue umefuzu pepa baba!!
 
Back
Top Bottom