Mwanaume unaandika "buana" aiseeewatupe 2 buana kama hivyo mkuu
Nakuja![]()
Lumumba wengi wenu ni waxinzi.Hii ndiyo mada pekee ambayo ufipa hawajajitokeza kupinga kitu![]()
uatanaka niandiakaje?Mwanaume unaandika "buana" aiseee






@ khantwe umeua!
Yaani uchi wangu mwenyewe nikigawa wewe inakuuma nini mkuu


dah. Haya makavu live kabisa
Nyuchi ni zetu boss tusipangiane matumiziukiona mpaka nimeamua kukutunuku ujue me mwenyewe nilikuwa nawashwa
full stop.
Unikumbuke.Hii ni kwamtoa mada tu coz anasema zipo za bure so aje nimpe
Hivyo eeh?Unikumbuke.
Namkuuu unapompa mtoa mada nami unikumbuke.
Just singing aloud.
Mtoa mada mnatakiwa mmchape.Hivyo eeh?
Ndipo utakapooa sasa.Uwe unafikiri kwanza kabla hijapost humu.. sasa wakiacha kugawa ovyo tutaishije?? We baharia wa wapi
Ndio nimeshaona sasaMtoa mada mnatakiwa mmchape.
Jifanye kama haukuona comment yangu basi nawe.