Wanawake acheni kugawa mzigo ovyo

Wanawake acheni kugawa mzigo ovyo

Tatizo huniaminii bana baba ake mtoto mzuri
Sasa mimi nitakuamini vipi unaniambia unanitumia kwenye mpesa inawezekana vipi hiyo kitu tamu inifikie kwa njia hyo bila wewe kuja mwenyewe?
 
Mkuu nyie mnawapata wapi hawa wanaowapatia hovyo hovyo mie nimezunguka PM miaka na miaka sipati??

Siku hizi mnaandika nyuzi za kuwa abuse wanawake mmmh.
Kwani hata humu zinapatikana mkuu ?
 
Kwahiyo mkuu unataka tuibane bane iliwe na nyenyere kwani tukiachwa wanaondoka nayo au hasara kwa nani

Halafu sio wote tumepangiwa ndoa ujue wengine tumepangiwa kucheza kwaito za wenzetu
 
Back
Top Bottom