Wanawake acheni kugawa mzigo ovyo

Wanawake acheni kugawa mzigo ovyo

narudia tena. marriage is a dying institution. wanaume kwa wanawake hakuna anayehitaji sana ndoa unayotaka wajibane kuipata mana hawaon mfano bora kwa walioko humo zaid ya stress na majanga. Nani atajibana kujitunza kwa ajiri ya malaya wa kiume. kwa kadri wanawake wanavyozid kujikomboa kiuchumi ndivyo ndoa inavyopoteza uhitaji wa msingi. wanaohitaji wanawake kama asset na si marafik wenza wataishia kufa kwa stress na migogoro. Wenzetu wameshakata kamba hawafugiki tena vzuri. Kama hujaoa achana navyo. kuna mambo ya maana ya kufanya. tafuta pesa na maarifa basi. Najiuliza kwanini kwa wanaoamin biblia hawaoni hata Mtume Paulo aliitaja ndoa kama plan B. Plan A ni kuishi mwenyewe.
 
😂😂😂😂😂😂 mbona sie tunapunwa vijisenti vyetu
 
Nyuchi ni zetu boss tusipangiane matumizi👌 ukiona mpaka nimeamua kukutunuku ujue me mwenyewe nilikuwa nawashwa
full stop.
Asante mama hii tania ya kupangiwa pangiwa ndo inaturudisha nyuma kwenye mae deleo mara ohh kwanini wanawake siku hizi hawavai chupi jamani gaweni kokote kikubwa ni ufurahiye unachopata
 
Shkamoo
Asante mama hii tania ya kupangiwa pangiwa ndo inaturudisha nyuma kwenye mae deleo mara ohh kwanini wanawake siku hizi hawavai chupi jamani gaweni kokote kikubwa ni ufurahiye unachopata
 
Kwahyo mkuu unataka waanze kutukazia? Acha ungese


Wanawake msimsikilize huyu embu gaweni kwakweli
 
Back
Top Bottom