Heri mimi sijasema!Kwangu mimi alichokisema Yessir ni obvious na hakukuwa na haja ya dataz. Si kila mtu anaipenda hii forum. Si kila mtu anampenda Mzee Mwanakijiji. Siku ambapo watu wataacha kuisema vibaya hii Forum basi tujue tumepoteza dira! Forum kama hii haiwezi na haitakiwi impendezeshe kila mtu.
Yessir. Tofauti na wanavyosema, Mzee Mwanakijiji si sauti pekee inayosikika humu ndani. Yeye kama wanachama wengine hoja zake na michango yake inajadiliwa kutoka kila upande. Kuna wanaozikubali na kuna wanaozipinga kutegemea na hoja yenyewe. Sijaona dalili za yeye ku-corrupt hii forum. Hilo la ufisadi halistahili jibu maana siku hizi neno hilo limekuwa insult of choice. Kila tusiyekubaliana nae tunamuita fisadi.
Ni hayo, tu. Na karibu jamvini na usije ogopa kuchangia kutokana na reception uliyopata. Mawazo yote na michango yote inathaminiwa bila kujali umejiunga lini.
Amandla......
jamani wana JF tusipanick katika kumsaidia kijana wetu mpya kabisa katika hili jukwaa la wastaarabu "VICHWA"....dogo anasema anasikia "THEY" SAYS....sasa naona ni wajibu wetu kumtuma kama mwanaJF mpya kwa hao THEY wanaosema sie ni mafisadi na hasa mkuu mwanakjj....
dogo yasser tumia muda wako kusoma hoja na michango iliyokwisha tolewa na wadau wote humu ndani na utaona ni jinsi gani kunavyokuwa na utofauti mkubwa wa mawazo...na uhuru tosha wa kila mtu kusema anachojisikia na anavyoelewa...na ni kwa uhuru huo hata hii thread yako HAIKUFISADIWA na ikawekwa hewani....na sasa hivi tunaijadili
wanaJF wenzangu...dogo pia ameleta challenge kwetu sisi...wajibu wa wanaJF kuielezea jamii umuhimu wa forum zetu na sio tulinganishwe na blogs za watoto nyingi tuu tunazozijua...ndioo.. ni wajibu wetu kuhakikisha kila mwenye akili timamu anajuwa kuwa JF IS THE HOME OF GREAT IDEAS AND SERIOUS CHALLENGES...we dare to talk openly...hakuna forum yoyote hapa nchini inayoijadili nchi yetu kwa marefu mapana na kina..."THEY"...wanahitaji kueleweshwa na sisi wanaJF wote....na mwisho wa siku watatujoin na tutakuwa "WE"...YES CHANGES WE CAN.....GOD BLESS TANGANYIKA, GOD BLESS ZANZIBAR ...GOD BLESS TANZANIA
mkuu nimekusoma.Kwangu mimi alichokisema Yessir ni obvious na hakukuwa na haja ya dataz. Si kila mtu anaipenda hii forum. Si kila mtu anampenda Mzee Mwanakijiji. Siku ambapo watu wataacha kuisema vibaya hii Forum basi tujue tumepoteza dira! Forum kama hii haiwezi na haitakiwi impendezeshe kila mtu.
Yessir. Tofauti na wanavyosema, Mzee Mwanakijiji si sauti pekee inayosikika humu ndani. Yeye kama wanachama wengine hoja zake na michango yake inajadiliwa kutoka kila upande. Kuna wanaozikubali na kuna wanaozipinga kutegemea na hoja yenyewe. Sijaona dalili za yeye ku-corrupt hii forum. Hilo la ufisadi halistahili jibu maana siku hizi neno hilo limekuwa insult of choice. Kila tusiyekubaliana nae tunamuita fisadi.
Ni hayo, tu. Na karibu jamvini na usije ogopa kuchangia kutokana na reception uliyopata. Mawazo yote na michango yote inathaminiwa bila kujali umejiunga lini.
Amandla......
yessir
Member
Join Date: Fri May 2009
Posts: 34
Thanks: 3
Thanked 5 Times in 2 Posts
Wale wale wanaosema kwaheri JF wanakuja na ID nyingine! Loh... Siwezi poteza muda wangu kwenye hili.
Kwangu mimi alichokisema Yessir ni obvious na hakukuwa na haja ya dataz. Si kila mtu anaipenda hii forum. Si kila mtu anampenda Mzee Mwanakijiji. Siku ambapo watu wataacha kuisema vibaya hii Forum basi tujue tumepoteza dira! Forum kama hii haiwezi na haitakiwi impendezeshe kila mtu.
Yessir. Tofauti na wanavyosema, Mzee Mwanakijiji si sauti pekee inayosikika humu ndani. Yeye kama wanachama wengine hoja zake na michango yake inajadiliwa kutoka kila upande. Kuna wanaozikubali na kuna wanaozipinga kutegemea na hoja yenyewe. Sijaona dalili za yeye ku-corrupt hii forum. Hilo la ufisadi halistahili jibu maana siku hizi neno hilo limekuwa insult of choice. Kila tusiyekubaliana nae tunamuita fisadi.
Ni hayo, tu. Na karibu jamvini na usije ogopa kuchangia kutokana na reception uliyopata. Mawazo yote na michango yote inathaminiwa bila kujali umejiunga lini.
Amandla......
mkuujamani wana JF tusipanick katika kumsaidia kijana wetu mpya kabisa katika hili jukwaa la wastaarabu "VICHWA"....dogo anasema anasikia "THEY" SAYS....sasa naona ni wajibu wetu kumtuma kama mwanaJF mpya kwa hao THEY wanaosema sie ni mafisadi na hasa mkuu mwanakjj....
dogo yasser tumia muda wako kusoma hoja na michango iliyokwisha tolewa na wadau wote humu ndani na utaona ni jinsi gani kunavyokuwa na utofauti mkubwa wa mawazo...na uhuru tosha wa kila mtu kusema anachojisikia na anavyoelewa...na ni kwa uhuru huo hata hii thread yako HAIKUFISADIWA na ikawekwa hewani....na sasa hivi tunaijadili
wanaJF wenzangu...dogo pia ameleta challenge kwetu sisi...wajibu wa wanaJF kuielezea jamii umuhimu wa forum zetu na sio tulinganishwe na blogs za watoto nyingi tuu tunazozijua...ndioo.. ni wajibu wetu kuhakikisha kila mwenye akili timamu anajuwa kuwa JF IS THE HOME OF GREAT IDEAS AND SERIOUS CHALLENGES...we dare to talk openly...hakuna forum yoyote hapa nchini inayoijadili nchi yetu kwa marefu mapana na kina..."THEY"...wanahitaji kueleweshwa na sisi wanaJF wote....na mwisho wa siku watatujoin na tutakuwa "WE"...YES CHANGES WE CAN.....GOD BLESS TANGANYIKA, GOD BLESS ZANZIBAR ...GOD BLESS TANZANIA
Kwangu mimi alichokisema Yessir ni obvious na hakukuwa na haja ya dataz. Si kila mtu anaipenda hii forum. Si kila mtu anampenda Mzee Mwanakijiji. Siku ambapo watu wataacha kuisema vibaya hii Forum basi tujue tumepoteza dira! Forum kama hii haiwezi na haitakiwi impendezeshe kila mtu.
Yessir. Tofauti na wanavyosema, Mzee Mwanakijiji si sauti pekee inayosikika humu ndani. Yeye kama wanachama wengine hoja zake na michango yake inajadiliwa kutoka kila upande. Kuna wanaozikubali na kuna wanaozipinga kutegemea na hoja yenyewe. Sijaona dalili za yeye ku-corrupt hii forum. Hilo la ufisadi halistahili jibu maana siku hizi neno hilo limekuwa insult of choice. Kila tusiyekubaliana nae tunamuita fisadi.
Ni hayo, tu. Na karibu jamvini na usije ogopa kuchangia kutokana na reception uliyopata. Mawazo yote na michango yote inathaminiwa bila kujali umejiunga lini.
Amandla......
baada ya hapoWhat they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round
jibu alilolipata ni hili hapa chinimwanakijiji anaongelewa every where.. hadi kwenye michuzi amesutwa kwamba ni fisadi na ni mtoto wa fisadi..sasa what does that have to do with me. anyways sawa nimeshapata majibu
Hizo ndo post za Yessir, you can see huyu member mwenzetu ana-infer kuwa kwakuwa mwanakijiji ni fisadi na ni mtoto wa fisadi basi JF ni forum fisadi. Dhana hii si kweli kwani hatujui nani fisadi na nani si fisadi kati yetu, pili JF haizuii mawazo ya mafisadi kuandikwa. Na endapo fisadi ataandika mawazo yake humu hiyo haileti maana kuwa ni forum ya kifisadi.the fact remains still kwamba JAMII FORUMS INASEMWA NI FORUM YA KFISADI..why and how,thats for you to find out..after all looks like you have been here for a long time
Kwa hakika nashangazwa na jinsi ambavyo watu wamelipokea bandiko hili, au labda mimi sijalielewa sawasawa.Kwa hiyo mnataka kutuambia kuwa hakuna wanaoyasema hayo anayodai Yessir?
Amandla...........
Mkuu Nziku
nashukuru kwa kuona hayo ambayo nilikwishayaona tangu anaanza kupost.
Kama tetesi inaletwa na mtetesaji anasimamia tetesi ambazo hata source yake haijaainishwa wazi basi ni kweli Mafisadi wameamua kudeal na mtu mmoja mmoja ambao wanajitia kimbelembele kuwafichau mafisadi.
wakimaliza na mwanakijiji watahamia kwa mwingine mpaka mwisho watamalizana na invisible. Hivi hawajui kuwa bangi haina kiwango mpaka inapokaushwa?
hey wewe,ukishafahamu source then usaidiwaje.. utawafata au ni nini hasa?
What they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round
Bangi nibangue ! mkuu acha kubadili majina na punguza uzushi...na mashuzi
What they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round