omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
kuwasha hizo defender inataka mafuta alafu sijui risasi au bomu moja la machozi linauzwa bei gani mpaka linatumika katika matumizi yasiyo na umuhimu kwa taifa hata na jeshi lenyewe. Very sorry!Inasikitisha
Halafu wehu wanakuja sema CHADEMA wamewatuma kumbe ni udhaifu wa serikali na uongozi kichaa...
Umaskini wa akili unaowasumbua baba zao,kaka zao mama zao pamoja na dada zao waliokula mchele na kupewa kanga na tshirt za Magamba ndio unawaumbua wakati huu,waache wapate kipondo then baba zao watapata akili hapo 2015!Naanza kuwa na wasiwasi na wanausalama wetu hawa, sasa kama kweli hii nguvu inatumika kukamata watoto hawa wadogo waliotelekezwa na walimu wao walioko kwenye mgomo, ni nini mustakabali wa jeshi hili!?
Hizi picha zimepatikana kwa hisani ya magazeti ya Mwananchi na mtandao wao.
View attachment 60446View attachment 60447
Kwa akili matope waliyonayo wanausalama wetu, huenda kuna mahali walitumia mabomu ya machozi kwa hawa watoto! Hii ni aibu ya mwaka!Naanza kuwa na wasiwasi na wanausalama wetu hawa, sasa kama kweli hii nguvu inatumika kukamata watoto hawa wadogo waliotelekezwa na walimu wao walioko kwenye mgomo, ni nini mustakabali wa jeshi hili!?
Hizi picha zimepatikana kwa hisani ya magazeti ya Mwananchi na mtandao wao.
View attachment 60446View attachment 60447
inanikumbusha filamu ya sarafinanaanza kuwa na wasiwasi na wanausalama wetu hawa, sasa kama kweli hii nguvu inatumika kukamata watoto hawa wadogo waliotelekezwa na walimu wao walioko kwenye mgomo, ni nini mustakabali wa jeshi hili!? Hizi picha zimepatikana kwa hisani ya magazeti ya mwananchi na mtandao wao. View attachment 60446View attachment 60447
na ujue haya mambo yanaonekana mpaka nje ya mipaka na wote tunakuwa judged kama Watanzania, we acha!kuna hilo hapo pembeni linakatamani sana hako katoto maskini mweeee??? Sijui kama waliachwa bila kupapaswa papaswa na hawa mafilauni??? Halafu mbona wame wakamata watoto wakike peke yao???