Wanausalama ni watu muhimu sana

Wanausalama ni watu muhimu sana

Wakati wa vita wanaume wote front line, sio wana usalama peke yao.

Kama wewe ni mwanaume mwenye umri usiozidi miaka 50 liweke hilo akilini.

Mbaya zaidi huwa wanatuma wanajeshi wasio na uzoefu huko front line, wale ma pro wanatumiwa kwenye strategic areas kwakua sio wengi kivile.
 
Rushwa unaizuia wewe mwananchi unaetoa na kuipokea. Tatizo linaanzia chini. Tunaruhusu. Sasa ukitaka wanajeshi waingie maofisini kuchungulia wanaotoa na kupokea rushwa si mnatafuta utawala wa aina nyingine.
Kwa hiyo vitengo pamoja na kazi ngumu na nzuri wanazofanya, suala la kudhibiti ubadhirifu wa mali ya umma haliwahusu, Mfano unakuta waziri mkuu analalamika kuhusu upigaji kwenye miradi mbalimbali, hilo haliwahusu hao walinzi wetu?
 
Ninawaheshimu na kuwaombea mema popote walipo.

Kwakweli tunashinda, tunakula tunalala vema kabisaa .
NINAJIVUNIA UWEPO WAO NA UZALENDO WAO
 
Kwa hiyo vitengo pamoja na kazi ngumu na nzuri wanazofanya, suala la kudhibiti ubadhirifu wa mali ya umma haliwahusu, Mfano unakuta waziri mkuu analalamika kuhusu upigaji kwenye miradi mbalimbali, hilo haliwahusu hao walinzi wetu?
Ukishajua kazi ya ile mihimili mitatu hutokuja kujichoresha. Kuwahusu vinawahusu ila unataka mwanajeshi na bunduki yake akamkamate mkurugenzi wa taasisi kwa ubadhirifu, mahakama ina fanya kazi gani? Unadhani hadi wewe unagundua kwamba flani kapiga bilioni 6 watu huwa wanaota? watu wanafuatilia ndo maana wewe unajua. Taarifa inafika kitu kinazungumzwa kama hatua zikichukuliwa wa kuwajibishwa anawajibishwa. Sasa mwana usalama anatakiwa kufanyaje zaidi ya hapo akukabe?

Alafu kama waziri mkuu analalamika, wa kitengo ndo wa kutoa amri? Chain of command inaendaje? Raisi ndo wa kufukuza. Unadhani enzi zile Mzee JPM alivyokuwa anatumbua watu usiku wa manane alikua anaota? Watu wana taarifa zako zote ndo maana nasema wewe jaribu tu ku sabotage nchi utafurahi. Ibeni hizi milioni milioni mjilishe ila kuhusu usalama wa nchi acha kabisa watu wako kazini than you think.
Uliza kilichotokea kibiti. Kama unadhani walishuka malaika kupambana sawa.
 
Shida binadamu tunadhani pesa ndio kila kitu pesa hazinunui Uhai wanashindwa kutambua hilo waulize wanafamilia ambao vijana wao shupavu walipoteza maisha wakiipigania nchi wakati wa vita vya Uganda kama pesa zimeweza kurudisha uhai wa wapendwa wao
Vipi kuhusu familia ambazo haki na uhai wao ulipotezwa na wanausalama, kama ndugu zangu akina jongo wa zombe.KIKUPACHO UTAMU NA UCHUNGU KITAKUPA.hata hivyo wanastahili pongezi.
 
Yes Boss Kila mtu ni muhimu kwa nafasi yake ila ogopa mtu aliye tayari kufa kwa ajili ya wengine sidhani kama mwl au dr kaweka uhai wake rehani kama mwanajeshi au polisi na huyo mwl, dr, mkulima anafanya kazi zake kwa amani kwa sababu ya wanausalama.

Pesa sio kitu ndani ya uhai kiongozi

Ushawahi sikia mlio wa mizinga wewe omba Mungu sana usije kusikia
Hahahaa, hawa Mapolisi wanaojitokeza na vin'gora baada ya tukio au ni wapi unaowasemea, teh teh
 
Nimependa sana maelezo yako, nimekuelewa vyema mwandishi.
Na kwa wale wote wasioona uwajibikaji wa hawa watu katika taifa letu, basi wajiridhishe Kwa kufanya yale wanayodhani hawa watu wanayafumbia macho na hawayatekelezi alafu baada ya siku moja watuletee mrejesho kuwa hawa watu wapo kazini kweli au laa!!

TUSILO LIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA.
TUTANGULIZE UZALENDO MBELE.

Watanzania wenzangu hebu tutoe matongo tongo machoni mwetu Ili tuweze kuyaona mazuri ndani ya nchi yetu na kuya furahia pia tuwaombee Sana wanausalama wetu bila kuchoka maana hawalali usiku na mchana Kwa ajiri yetu na taifa letu Kwa ujumla
Vipi kuhusu vifo vya utata kwa viongozi wetu wapendwa ambao watanzania tulijivunia, kila mtu mwenye akili timamu anaona kulikuwa na ubabaushaji mkubwa sana kwenye hii, je wanausalama wanaliona?
 
Ndio wanausalama ni watu muhimu sana hapa nikimaanisha majeshi yote kwa nchi yetu mfano JWTZ, jeshi la
Polisi, Usalama wa Taifa...nk

Hawa watu wanahitaji sana maombi yetu na upendo wetu wakienenda katika yaliyo haki i mean kulinda mipaka ya nchi, rasilimali za nchi pamoja na sisi raia.

Ndio ogopa sana mtu aliyekula kiapo cha kufa kwa ajili ya kukulinda wewe na nchi yako, hebu fikiri wakati wewe umejficha ndani ya bomb shelter/bunkers hawa jamaa watakua frontline wakikabiliana na adui uso kwa uso.

Bila kujali adui ana silaha gani za kisasa ila tambu hawa wana usalama wetu ndio watakua wanapambana nao, chukulia mfano vita ya Kagera wanausalama wetu walijitoa kwa ari na mali kuipambania nchi yetu.

Heshimu sana mtu wakati wewe umelala fofofo yeye yupo macho na silaha nzito mkononi kuhakikisha unalala salama bila usumbufu wowote akipigwa na baridi kali hata kama kuna barafu

Mfano naangalia pale Ukraine wakati huu kuna barafu kali na baridi ila wanajeshi wa Ukraine bado wanapambana kwa ajili ya nchi yao wote wakike nawa kiume.

Nao kama binadamu wana mapungufu yao ila wanayoyafanya ni makubwa sana bado wanahitaji Upendo na sala zetu kwa wingi.

Ndio heshima ziende kwa vyombo vyote vya ulinzi vinavyohakikisha nchi yetu ipo safi mpaka leo natambua sio kwamba nchi yetu haina maadui ila kwa weledi wenu mnawatambua mapema na kudili nao mapema.

#Hongereni sana

Ni mimi mpenda amani na raia mwema....
Wakati umepiga magoti kuwsombea wapate baraka na neema za Mungu. Wenzako muda huo wapo kwenye vikao mkakati vya lengo la kudhoofisha upinzani dhidi ya CCM. Wengine wanachora ramani za kuwajaza wafu kwenye viroba, wengine wapo kwenye mchongo wa kuwabambikizia kesi wakosoaji wa serikali.

Wanaohitaji maombi ya hali ya juu ni Watanzania ambao kiuhalisia wamefanywa kama mandondocha hawana tena ule uhuru wa kweli na haki ndani ya nchi yao....
 
Kwani hao wanaopigana nao wametoka mbinguni?
Kiasi kwamba iwe ni mijitu ya kutisha kiasi hicho unachokisema hapa?

Una uhakika kwamba wewe utakuwa ndani kwako umelala fofofo wakati vita vinaendelea huko nje kama unavyosema?

Unaongeleaje raia wanaochukuliwa wasio na mafunzo na kupelekwa vitani kuongeza nguvu?
Unawaongeleaje wale wanaopata ajali makazini mwao na kufa mfano madereva?
 
angalia move moja inaitwa stringrad utajua kuwa watu wanajitoa kwaqjili ya wengine ni vita ya usi kwa uso roho mkononi wanajeshi wengine wanakufaa hata hawajafklika battlefield.
 
Wanajitoa kivipi wakati wanalipwa mshahara kwa kazi hiyo.

Kujitoa wangekuwa wanafanya kazi bure hapo sawa.
Mkuu ulikwisha wahi kuukosa usingizi siku 3 mfululizo usiku na mchana? Hali ilikuwaje?
 
Ukishajua kazi ya ile mihimili mitatu hutokuja kujichoresha. Kuwahusu vinawahusu ila unataka mwanajeshi na bunduki yake akamkamate mkurugenzi wa taasisi kwa ubadhirifu, mahakama ina fanya kazi gani? Unadhani hadi wewe unagundua kwamba flani kapiga bilioni 6 watu huwa wanaota? watu wanafuatilia ndo maana wewe unajua. Taarifa inafika kitu kinazungumzwa kama hatua zikichukuliwa wa kuwajibishwa anawajibishwa. Sasa mwana usalama anatakiwa kufanyaje zaidi ya hapo akukabe?

Alafu kama waziri mkuu analalamika, wa kitengo ndo wa kutoa amri? Chain of command inaendaje? Raisi ndo wa kufukuza. Unadhani enzi zile Mzee JPM alivyokuwa anatumbua watu usiku wa manane alikua anaota? Watu wana taarifa zako zote ndo maana nasema wewe jaribu tu ku sabotage nchi utafurahi. Ibeni hizi milioni milioni mjilishe ila kuhusu usalama wa nchi acha kabisa watu wako kazini than you think.
Uliza kilichotokea kibiti. Kama unadhani walishuka malaika kupambana sawa.
Sijapinga kuwa wanafanya kazi, issue ni kuwa kwa nin huwa hawanusi ubadhirifu kabla haujatokea, na kuuzuia?
 
Sijapinga kuwa wanafanya kazi, issue ni kuwa kwa nin huwa hawanusi ubadhirifu kabla haujatokea, na kuuzuia?
Wewe una uwezo wa kunusa kuwa mkeo atachepuka kesho kutwa? Sasa tuwape kitengo kingine cha upigaji ramli. Wote ni binadamu. Unataka superheroes hata marekani wamewakosa hao wa kunusa ndo maana attacks kama 9/11 ikatokea.
 
Ndio wanausalama ni watu muhimu sana hapa nikimaanisha majeshi yote kwa nchi yetu mfano JWTZ, jeshi la
Polisi, Usalama wa Taifa...nk

Hawa watu wanahitaji sana maombi yetu na upendo wetu wakienenda katika yaliyo haki i mean kulinda mipaka ya nchi, rasilimali za nchi pamoja na sisi raia.

Ndio ogopa sana mtu aliyekula kiapo cha kufa kwa ajili ya kukulinda wewe na nchi yako, hebu fikiri wakati wewe umejficha ndani ya bomb shelter/bunkers hawa jamaa watakua frontline wakikabiliana na adui uso kwa uso.

Bila kujali adui ana silaha gani za kisasa ila tambu hawa wana usalama wetu ndio watakua wanapambana nao, chukulia mfano vita ya Kagera wanausalama wetu walijitoa kwa ari na mali kuipambania nchi yetu.

Heshimu sana mtu wakati wewe umelala fofofo yeye yupo macho na silaha nzito mkononi kuhakikisha unalala salama bila usumbufu wowote akipigwa na baridi kali hata kama kuna barafu

Mfano naangalia pale Ukraine wakati huu kuna barafu kali na baridi ila wanajeshi wa Ukraine bado wanapambana kwa ajili ya nchi yao wote wakike nawa kiume.

Nao kama binadamu wana mapungufu yao ila wanayoyafanya ni makubwa sana bado wanahitaji Upendo na sala zetu kwa wingi.

Ndio heshima ziende kwa vyombo vyote vya ulinzi vinavyohakikisha nchi yetu ipo safi mpaka leo natambua sio kwamba nchi yetu haina maadui ila kwa weledi wenu mnawatambua mapema na kudili nao mapema.

#Hongereni sana

Ni mimi mpenda amani na raia mwema....
Kiukweli wanastahili hata kusamehewa wasitoe fungu la Kumi kwasababu kwa huduma wanayoitoa kwa Jamii ni zaidi ya fungu la hamsini.
Maisha ya kutoogopa kukikabili kifo kwa maslahi ya watu wengine tena ikibidi ambao hata sio ndugu au jamaa zako wa karibu ni zaidi ya sadaka ya kuteketeza.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Hizo kazi wengine hadi wanahonga kuzipata.
Ni ajira tu kama ajira nyingine.
 
Hizo kazi wengine hadi wanahonga au wanaenda na vi memo kuzipata, kwa hali hiyo watagomaje mishahara ni midogo?!
Msikie huyu nae!hivi ushawahi kusikia askari wa jeshi lolote amegoma eti mshahara hautoshi? Ukizingatia hawa askari wetu mishahara wanayopewa ni midogo sana haiendani na uhalisia wa maisha yao kabisa
Kwa upande wa madaktari kila kukicha wanagoma wakidai waongezewe mishahara na posho!
Just imagine tu siku moja majeshi yetu yagome sasa wanataka mishahara mikubwa na waamue tu kuacha mipaka ikiwa wazi bila ulinzi na uhalifu uendelee sidhani kama hata jua litazama siku hiyo
Angalia jinsi askari wa Ukraine wanavyopambania nchi yao
 
Ndio wanausalama ni watu muhimu sana hapa nikimaanisha majeshi yote kwa nchi yetu mfano JWTZ, jeshi la
Polisi, Usalama wa Taifa...nk

Hawa watu wanahitaji sana maombi yetu na upendo wetu wakienenda katika yaliyo haki i mean kulinda mipaka ya nchi, rasilimali za nchi pamoja na sisi raia.

Ndio ogopa sana mtu aliyekula kiapo cha kufa kwa ajili ya kukulinda wewe na nchi yako, hebu fikiri wakati wewe umejficha ndani ya bomb shelter/bunkers hawa jamaa watakua frontline wakikabiliana na adui uso kwa uso.

Bila kujali adui ana silaha gani za kisasa ila tambu hawa wana usalama wetu ndio watakua wanapambana nao, chukulia mfano vita ya Kagera wanausalama wetu walijitoa kwa ari na mali kuipambania nchi yetu.

Heshimu sana mtu wakati wewe umelala fofofo yeye yupo macho na silaha nzito mkononi kuhakikisha unalala salama bila usumbufu wowote akipigwa na baridi kali hata kama kuna barafu

Mfano naangalia pale Ukraine wakati huu kuna barafu kali na baridi ila wanajeshi wa Ukraine bado wanapambana kwa ajili ya nchi yao wote wakike nawa kiume.

Nao kama binadamu wana mapungufu yao ila wanayoyafanya ni makubwa sana bado wanahitaji Upendo na sala zetu kwa wingi.

Ndio heshima ziende kwa vyombo vyote vya ulinzi vinavyohakikisha nchi yetu ipo safi mpaka leo natambua sio kwamba nchi yetu haina maadui ila kwa weledi wenu mnawatambua mapema na kudili nao mapema.

#Hongereni sana

Ni mimi mpenda amani na raia mwema....
Ndo kazi yao ndo maana wanalipwa mshahara
 
Sahihi kabisa
Kila mtu na taaluma yake...hao askari wanasomea ni wabobezi katika nyanja hiyo, wanajua namna ya kusurvive hata kwenye vita, hiyo mizinga kabla ya kwenda vitani wanajifunza na kuzoea.

Wewe unafikiri nchi zinasomesha maaskari iki wakafie vitani..hapana..wanafunndishwa miaka nenda rudi, wanafanya mazoezi ili wasife, wasurvive....Hivyo ni profession kama profession nyingine..kufa ni ajali kazini..

Askari unapaswa kusurvive vitani na sio kufa....
 
Back
Top Bottom