Ushahidi unao?Umuhimu gani nchi inaibiwa menyewe yapo kutishia abiria kwenye mwendokasi
Panapo kuja kuharibu ni pale wana siasa wanapokuja na maamuzi yao ya kushibisha matumbo yao wakati kuna wengine wanajitolea uhai kuzilinda rasilimali za nchi kwa damu na jasho. Inaumiza na kusikitisha sana.Ndio wanausalama ni watu muhimu sana hapa nikimaanisha majeshi yote kwa nchi yetu mfano JWTZ, jeshi la
Polisi, Usalama wa Taifa...nk
Hawa watu wanahitaji sana maombi yetu na upendo wetu wakienenda katika yaliyo haki i mean kulinda mipaka ya nchi, rasilimali za nchi pamoja na sisi raia.
Ndio ogopa sana mtu aliyekula kiapo cha kufa kwa ajili ya kukulinda wewe na nchi yako, hebu fikiri wakati wewe umejficha ndani ya bomb shelter/bunkers hawa jamaa watakua frontline wakikabiliana na adui uso kwa uso.
Bila kujali adui ana silaha gani za kisasa ila tambu hawa wana usalama wetu ndio watakua wanapambana nao, chukulia mfano vita ya Kagera wanausalama wetu walijitoa kwa ari na mali kuipambania nchi yetu.
Heshimu sana mtu wakati wewe umelala fofofo yeye yupo macho na silaha nzito mkononi kuhakikisha unalala salama bila usumbufu wowote akipigwa na baridi kali hata kama kuna barafu
Mfano naangalia pale Ukraine wakati huu kuna barafu kali na baridi ila wanajeshi wa Ukraine bado wanapambana kwa ajili ya nchi yao wote wakike nawa kiume.
Nao kama binadamu wana mapungufu yao ila wanayoyafanya ni makubwa sana bado wanahitaji Upendo na sala zetu kwa wingi.
Ndio heshima ziende kwa vyombo vyote vya ulinzi vinavyohakikisha nchi yetu ipo safi mpaka leo natambua sio kwamba nchi yetu haina maadui ila kwa weledi wenu mnawatambua mapema na kudili nao mapema.
#Hongereni sana
Ni mimi mpenda amani na raia mwema....
Panapo kuja kuharibu ni pale wana siasa wanapokuja na maamuzi yao ya kushibisha matumbo yao wakati kuna wengine wanajitolea uhai kuzilinda rasilimali za nchi kwa damu na jasho. Inaumiza na kusikitisha sana.
Taabu ya wengi uliowataja hapo rushwa ... Labda hawakuathiri wewe kwa sababu ya undugu ulio nao wewe nao au na walamba asali?
Kabisaa ukitaka kuamini uende mikoa ya pembezoni mwa nchi hasa kigoma utaelewa tunalo lisema hapa. Mimi kilio changu ni kwa wana Siasa wanao sahau yakuwa Nchi ina walinzi ambao wamejitolea maisha yao kwaajili yetu sote.We shukuru unakula na kulala mengine yaache kama yalivyo kiongozi dont dig deep na mengine kama huyafahamu hata kukaa kimya ni busara pia
Yanapotokea magonjwa ya milipuko mfano corona na ebola mtumishi wa afya anahatarisha maisha yake,waandishi wa habari za uchunguzi wapo hatarini pia,Ulishawaza usalama wa vijana wanaopandisha material ghorofani wakati wa ujenzi?Yes Boss Kila mtu ni muhimu kwa nafasi yake ila ogopa mtu aliye tayari kufa kwa ajili ya wengine sidhani kama mwl au dr kaweka uhai wake rehani kama mwanajeshi au polisi na huyo mwl, dr, mkulima anafanya kazi zake kwa amani kwa sababu ya wanausalama.
Pesa sio kitu ndani ya uhai kiongozi
Ushawahi sikia mlio wa mizinga wewe omba Mungu sana usije kusikia
Vipi usalama wa afya zao yanapotokea magonjwa ya milipuko mfano corona na ebola?Daktari anakula kiapo cha kutunza siri za wagonjwa na sio kutoa uhai wake kwa ajili ya wagonjwa.
Umeona wale wameguswa kidogo tu Mirembe wameanza kulalamika je ukimpeleka frontline kwenye vita si ndio atakimbia kabisa
Ya
Yanapotokea magonjwa ya milipuko mfano corona na ebola mtumishi wa afya anahatarisha maisha yake,waandishi wa habari za uchunguzi wapo hatarini pia,Ulishawaza usalama wa vijana wanaopandisha material ghorofani wakati wa ujenzi?
Nayafahamu mengi kupita kiasi na tunaumia zaidi kuliko unifikiriavyoWe shukuru unakula na kulala mengine yaache kama yalivyo kiongozi dont dig deep na mengine kama huyafahamu hata kukaa kimya ni busara pia
Vipi usalama wa afya zao yanapotokea magonjwa ya milipuko mfano corona na ebola?
Ushahidi unao?
Ungefahamu mengi ungewashukuru wachapakazi hawa.