Wanaumeee. ..... Itikeni Naam......

Wanaumeee. ..... Itikeni Naam......

Naam.

Kuondoka kwa mwanamke ina athari kama una watoto. Maana itaharibu msingi mzima kwa watoto.


Ila kama hamna watoto basi huwa hahiathiri chochote
 
Wanawake kuwatesa na kuwanyanyasa hufanywa tu kwa kiburi aliyozaliwa nayo mwanaume, lakini mwanamke anapoondoka nyumbani huwa tunajutia mengi. Baba yetu mama akiwa nyumbani kama vile haoni thamani yake lakini akisafiri au hata anaumwa anavyokosa amani hadi unamuonea huruma. Atakuuliza mama yako alisema anarudi lini vile au umempigia simu atakuja lini?
Wanaume huwa tunajiona wenye nguvu na wenye maamuzi ya mwisho but kukosa mwanamke hasa mke karibu yako unakosa mengi sana.
I think tunawahitaji sana, tujitahidi kuwaheshimu na kuona na kutambua umuhimu wao katika maisha yetu.
Ila pia siyo wanawake wote ni kuwavumilia.
NB: mwanamke mwema ni wa muhimu sana katika maisha ya mwanaume.
 
Wanawake kuwatesa na kuwanyanyasa hufanywa tu kwa kiburi aliyozaliwa nayo mwanaume, lakini mwanamke anapoondoka nyumbani huwa tunajutia mengi. Baba yetu mama akiwa nyumbani kama vile haoni thamani yake lakini akisafiri au hata anaumwa anavyokosa amani hadi unamuonea huruma. Atakuuliza mama yako alisema anarudi lini vile au umempigia simu atakuja lini?
Wanaume huwa tunajiona wenye nguvu na wenye maamuzi ya mwisho but kukosa mwanamke hasa mke karibu yako unakosa mengi sana.
I think tunawahitaji sana, tujitahidi kuwaheshimu na kuona na kutambua umuhimu wao katika maisha yetu.
Ila pia siyo wanawake wote ni kuwavumilia.
NB: mwanamke mwema ni wa muhimu sana katika maisha ya mwanaume.


umeongea vyema !umenibariki kwakweli !wanaume mnanikwaza kitu kimoja!
mnaish na wake zenu km unaish na mshkaj ghetto!yaan huguswi a hisia zake ht siku 1 mpo mpo tu!dawa yenu ni kutafuta safari even for a month! ni kwel si kila mwanamke wa kumvmilia !likewise kwa wanaume pia
 
Kikubwa kwa mwanaume ni kuangalia umuhimu aliokuwa nao mama yako kwa familia yenu, je! bila mama yako wewe na familia yako mngekuwa kama mlivyo? Au kama mama yako alikuwa mbovu angalia hata mama wa ndugu walio karibu na wewe, alio simama vizuri kusimamia familia zao, hapo ndipo utakapo ona umuhimu wa kuwa na mwanamke mwema karibu yako.
Mwanamke anayejielewa na kujua majukumu yake vyema anahitaji support ndogo sana kutoka kwa mume ili familia yake iweze kusimama.

Hatausipomwambia how important she is in your life ila hata ukikaa mwenyewe na kutafakari kwa kina you appreciate her a lot.
 
umeongea vyema !umenibariki kwakweli !wanaume mnanikwaza kitu kimoja!
mnaish na wake zenu km unaish na mshkaj ghetto!yaan huguswi a hisia zake ht siku 1 mpo mpo tu!dawa yenu ni kutafuta safari even for a month! ni kwel si kila mwanamke wa kumvmilia !likewise kwa wanaume pia
Hahhahaha ila huna haja ya kwenda mbali kisa tu unakomoa. Try to find a way aone bila wewe, yeye aatakosa mengi ya umuhimu.
 
Back
Top Bottom