Wanaumeee. ..... Itikeni Naam......

Wanaumeee. ..... Itikeni Naam......

Naaammm....tuko tofauti bibie.....binamuyo atakuwa yai la kisasa.....mie namuongezea na nauli....chaaaaa.....na talaka itamfuata huko huko.....maisha yenyewe mafupiii.....ila kwenye watoto hapo ndo shughuli.....lazima kuwepo mjadala.....
Huwa nachukizwa na wanaume wa aina hii kwakweli ! Hivi unadhani bila mkeo hao watoto ungewapata ? Au wangejizaa wenyewe ? Wanaume mnamanyanyaso sana kwa wake zenu , na kwa taarifa yenu wake zenu wanawavumiliga tu kwasababu ya watoto , na kwa matendo yenu huwa wanakuwa wamewaisha wachoka kitambo na kuwatoa moyoni.. hata hiyo talaka unayojivunia itamfata huko wala haimkomoi bali unakomoa watoto.
 
Wapi hiyo shoooo ninakaribia miezi miwili sasa sipo home baaasi nikwambie natongozwa upya pya nachumbiwa mwenzio simu zisizo na idadi hahahaha za i miss you baby girl leo nimekuwa baby!!! Shutuuuu

Namalizia kumuoshea mtu vyombo kwaheri
Mhhhhhhh
 
Huwa nachukizwa na wanaume wa aina hii kwakweli ! Hivi unadhani bila mkeo hao watoto ungewapata ? Au wangejizaa wenyewe ? Wanaume mnamanyanyaso sana kwa wake zenu , na kwa taarifa yenu wake zenu wanawavumiliga tu kwasababu ya watoto , na kwa matendo yenu huwa wanakuwa wamewaisha wachoka kitambo na kuwatoa moyoni.. hata hiyo talaka unayojivunia itamfata huko wala haimkomoi bali unakomoa watoto.
Duuuuuuuuuuu
 
Halafu mkishaitika nisaidieni haya maswali yanayonizonga kichwani maana sielewi atii....

Hivi mwanaume ulishakuwa na familia maana ya mke na watoto kadhaa, kwa namna yeyote ile yule mwanamke akiondoka kwenye nyumba na watoto akakuacha uendelee na maisha mwenyewe huwa inawauma sana? Hata kama kuna magomvi yaani mwanaume anaweza hata kukonda na au kuwa mlevi na hajijali tena? Unakuta huyu mwanaume ana hela zake ila kuachwa na mke na watoto anakuwa anashindwa kabisa kuendelea kuishi.... bila kujali yeye mwanaume kila siku ndo alikuwa anamtamkia mkewe kuwa ntakufukuza na vifaranga vyako, hata ukiondoka hata sijali tena ntaoa mwanamke mwingine. Shangaa sasa mke akiondoka..... haoi hanunui milupo badala yake kila siku anadhoofika..... sielewi nini huwa kinatokea.

Hiki nilichoona hapo juu nina ushahidi nacho, binamu yangu mmoja yuko hooii amebaki kwenda kazini tuu ndo nguvu aliyonayo. Ana pesa nzuri na anakaa kwenye nyumba yake Tegeta ila alimkorofisha sana mkewe kumnyanyasa sana kumfuja hatimaye mke akaondoka na watoto weeh yaani hivi niandikavyo binamu anatia huruma. Naomba ni wanaume mnieleweshe.... kwanini huwa mnakata tamaa sana, mkizoea kuishi na mwanamke akiwa mbali nanyi huwa hamuwezi kuendelea mbele?

Sijui mnaenielwa....!!!?

Kasie Kasiba.
Hayo ni matatizo binafsi ya binamu yako na inawezekana ana matatizo ya kisaikolojia hivyo hatuwakilishi wanaume wote. Na inawezekana pia yeye ndiye chanzo cha bibiye kuondoka hivyo dhamiri yake inamsuta.
 
hu
Wapi hiyo shoooo ninakaribia miezi miwili sasa sipo home baaasi nikwambie natongozwa upya pya nachumbiwa mwenzio simu zisizo na idadi hahahaha za i miss you baby girl leo nimekuwa baby!!! Shutuuuu

Namalizia kumuoshea mtu vyombo kwaheri

hahahahahhahha hebu rudi kwak na ww!alaa!mie najiandaa niende kumalizia stress dar bbyyy..nlianzia Iringaa huko !hapa npo kwetu hapa nadeeeekaaaaaaaa !fyyyyyyyyyyyyyyyuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Huwa nachukizwa na wanaume wa aina hii kwakweli ! Hivi unadhani bila mkeo hao watoto ungewapata ? Au wangejizaa wenyewe ? Wanaume mnamanyanyaso sana kwa wake zenu , na kwa taarifa yenu wake zenu wanawavumiliga tu kwasababu ya watoto , na kwa matendo yenu huwa wanakuwa wamewaisha wachoka kitambo na kuwatoa moyoni.. hata hiyo talaka unayojivunia itamfata huko wala haimkomoi bali unakomoa watoto.
uende tuuu....umetoka kwenu na mitabia yako ishanichosha.......kama ushanitoa moyoni nini tena dada yangu....maisha lazima yasonge......umekimbia nyumba yamekushinda songa.......tatizo mnafanya watoto ndio kinga na kuwalisha sumu watoto.....mnapoteza muda.....kubali matokeo usonge mbele.....
 
Naam Kasie,
Inawezekana sana mwanaume akashindwa kujiongoza pindi mke akiondoka. Humu mitandaoni huwa watu watabisha na kusema "huyo ni mvulana", "mwanaume suruali", lakini mara nyingi divorces zinaleta matatizo na kuyumba kwa watalaka na hatimaye wengine huishia kutumia mihadarati na pombe.

Vijana hawawezi kuelewa coz bado hawajui maana ya mke ndani ya nyumba.
 
Shida ni kulala ni kitanda kimoja!
Katika maisha jijengee kulala vitanda tofauti na mkeo itakusaidia mbeleni.
Hii kulala kitanda kimoja umekumbatia tu huku vidole vyake kakuwekea mdomoni hadi unyonye ndo ulale!siku akisepa utakonda km panya mwenye tb!
Mke vitanda tofauti.
Watoto chumba chao.
Hata wakiondoka unaweza kusavaivu kisela muda mrefu hadi akirudi
Vitanda tofauti! Si nitakuwa sina tofauti na mgeni alokuja. Mimi hapana kwa kweli
 
Halafu mkishaitika nisaidieni haya maswali yanayonizonga kichwani maana sielewi atii....

Hivi mwanaume ulishakuwa na familia maana ya mke na watoto kadhaa, kwa namna yeyote ile yule mwanamke akiondoka kwenye nyumba na watoto akakuacha uendelee na maisha mwenyewe huwa inawauma sana? Hata kama kuna magomvi yaani mwanaume anaweza hata kukonda na au kuwa mlevi na hajijali tena? Unakuta huyu mwanaume ana hela zake ila kuachwa na mke na watoto anakuwa anashindwa kabisa kuendelea kuishi.... bila kujali yeye mwanaume kila siku ndo alikuwa anamtamkia mkewe kuwa ntakufukuza na vifaranga vyako, hata ukiondoka hata sijali tena ntaoa mwanamke mwingine. Shangaa sasa mke akiondoka..... haoi hanunui milupo badala yake kila siku anadhoofika..... sielewi nini huwa kinatokea.

Hiki nilichoona hapo juu nina ushahidi nacho, binamu yangu mmoja yuko hooii amebaki kwenda kazini tuu ndo nguvu aliyonayo. Ana pesa nzuri na anakaa kwenye nyumba yake Tegeta ila alimkorofisha sana mkewe kumnyanyasa sana kumfuja hatimaye mke akaondoka na watoto weeh yaani hivi niandikavyo binamu anatia huruma. Naomba ni wanaume mnieleweshe.... kwanini huwa mnakata tamaa sana, mkizoea kuishi na mwanamke akiwa mbali nanyi huwa hamuwezi kuendelea mbele?

Sijui mnaenielwa....!!!?

Kasie Kasiba.
Mwanamke siyo ndugu,ni rafiki tu ,huyo binamu yako atakufa siku siyo zake kwa kumuwaza rafiki
 
Halafu mkishaitika nisaidieni haya maswali yanayonizonga kichwani maana sielewi atii....

Hivi mwanaume ulishakuwa na familia maana ya mke na watoto kadhaa, kwa namna yeyote ile yule mwanamke akiondoka kwenye nyumba na watoto akakuacha uendelee na maisha mwenyewe huwa inawauma sana? Hata kama kuna magomvi yaani mwanaume anaweza hata kukonda na au kuwa mlevi na hajijali tena? Unakuta huyu mwanaume ana hela zake ila kuachwa na mke na watoto anakuwa anashindwa kabisa kuendelea kuishi.... bila kujali yeye mwanaume kila siku ndo alikuwa anamtamkia mkewe kuwa ntakufukuza na vifaranga vyako, hata ukiondoka hata sijali tena ntaoa mwanamke mwingine. Shangaa sasa mke akiondoka..... haoi hanunui milupo badala yake kila siku anadhoofika..... sielewi nini huwa kinatokea.

Hiki nilichoona hapo juu nina ushahidi nacho, binamu yangu mmoja yuko hooii amebaki kwenda kazini tuu ndo nguvu aliyonayo. Ana pesa nzuri na anakaa kwenye nyumba yake Tegeta ila alimkorofisha sana mkewe kumnyanyasa sana kumfuja hatimaye mke akaondoka na watoto weeh yaani hivi niandikavyo binamu anatia huruma. Naomba ni wanaume mnieleweshe.... kwanini huwa mnakata tamaa sana, mkizoea kuishi na mwanamke akiwa mbali nanyi huwa hamuwezi kuendelea mbele?

Sijui mnaenielwa....!!!?

Kasie Kasiba.
Jibu lake rahisi sana mkuu, ni kwamba, mwanaume na ujeuri wake wote mke ni muhimu sana kwake, watagombana atamfanyia mabaya mengi lakini siku akiondoka ataumia sana kwa sababu thamani yake anaitambua. Anakonda kwa sababu ni mtu aliye na huruma sana na anajutia yale yote aliyoyafanya. Lakini mwanamke anayemtesa mume wake, hata huyo mume akiondoka hajali hata kidogo, tena ndo anafurahi sana ni vigumu kujutia haraka, uliwashawahi kujiuliza hilo?

Au
Hujawahi ona au kusikia kuwa wanandoa wanaofikia umri mkubwa ikitokea mama akatangulia kufariki baba huwa hachukui muda mrefu naye hufariki. Lakini baba akitangulia kufariki mama huwa anakuwa na muda mwingi kidogo wa kuishi, Tafakali.
 
Halafu mkishaitika nisaidieni haya maswali yanayonizonga kichwani maana sielewi atii


Hivi mwanaume ulishakuwa na familia maana ya mke na watoto kadhaa, kwa namna yeyote ile yule mwanamke akiondoka kwenye nyumba na watoto akakuacha uendelee na maisha mwenyewe huwa inawauma sana? Hata kama kuna magomvi yaani mwanaume anaweza hata kukonda na au kuwa mlevi na hajijali tena? Unakuta huyu mwanaume ana hela zake ila kuachwa na mke na watoto anakuwa anashindwa kabisa kuendelea kuishi.... bila kujali yeye mwanaume kila siku ndo alikuwa anamtamkia mkewe kuwa ntakufukuza na vifaranga vyako, hata ukiondoka hata sijali tena ntaoa mwanamke mwingine. Shangaa sasa mke akiondoka..... haoi hanunui milupo badala yake kila siku anadhoofika..... sielewi nini huwa kinatokea.

Hiki nilichoona hapo juu nina ushahidi nacho, binamu yangu mmoja yuko hooii amebaki kwenda kazini tuu ndo nguvu aliyonayo. Ana pesa nzuri na anakaa kwenye nyumba yake Tegeta ila alimkorofisha sana mkewe kumnyanyasa sana kumfuja hatimaye mke akaondoka na watoto weeh yaani hivi niandikavyo binamu anatia huruma. Naomba ni wanaume mnieleweshe.... kwanini huwa mnakata tamaa sana, mkizoea kuishi na mwanamke akiwa mbali nanyi huwa hamuwezi kuendelea mbele?

Sijui mnaenielwa....!!!?

Kasie Kasiba.
Ndugu yake Binamu,
Nikuambie, cha kwanza mazoea yana tabu kuyakosa ni adhabu cha pili wanaume wengi huropoka tu maringo ya mdomo mke akiondoka pale kitandani hapalaliki! Ndio maana unatafutwa ulevi kama nusu kaputi asipolewa Analia kabisa ndani ya shuka.
Cha tatu mtu hujiuliza watu wananionaje? Akitokea wa kutaka aolewe shurti ajikakamue sababu wazi anajua anajipeleka kwenye janga! Isitoshe kuoa sio shati unaenda dukani unachagua!
Kuoa ni kujenga maisha yanayokuzunguka kijamii, kimaendeleo hata kiitikadi hivyo hiyo ya mwanzo ikiteleza mtu anachanganyikiwa na kubaki na moja kichwani ...a devil you know is better than an angel you don't know anamwita bwana chupa amsaidie.
 
Dah! ilibaki kidogo niingie katika ulevi mbwa, omba yasikukute....nimekuelewa sana Kasie wetu
 
hu


hahahahahhahha hebu rudi kwak na ww!alaa!mie najiandaa niende kumalizia stress dar bbyyy..nlianzia Iringaa huko !hapa npo kwetu hapa nadeeeekaaaaaaaa !fyyyyyyyyyyyyyyyuuuuuuuuuuuuuuuu
Atulie kidogo
 
Back
Top Bottom