MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
rudi nyumbani usiniulie shemeji yangu pls
hahaha sijaondoka kwa ugomv!inachosha kukaa sehem 1!tarud
rudi nyumbani usiniulie shemeji yangu pls
Umekuja mjini kimya kimya
huwaga mnaturoga....Halafu mkishaitika nisaidieni haya maswali yanayonizonga kichwani maana sielewi atii....
Hivi mwanaume ulishakuwa na familia maana ya mke na watoto kadhaa, kwa namna yeyote ile yule mwanamke akiondoka kwenye nyumba na watoto akakuacha uendelee na maisha mwenyewe huwa inawauma sana? Hata kama kuna magomvi yaani mwanaume anaweza hata kukonda na au kuwa mlevi na hajijali tena? Unakuta huyu mwanaume ana hela zake ila kuachwa na mke na watoto anakuwa anashindwa kabisa kuendelea kuishi.... bila kujali yeye mwanaume kila siku ndo alikuwa anamtamkia mkewe kuwa ntakufukuza na vifaranga vyako, hata ukiondoka hata sijali tena ntaoa mwanamke mwingine. Shangaa sasa mke akiondoka..... haoi hanunui milupo badala yake kila siku anadhoofika..... sielewi nini huwa kinatokea.
Hiki nilichoona hapo juu nina ushahidi nacho, binamu yangu mmoja yuko hooii amebaki kwenda kazini tuu ndo nguvu aliyonayo. Ana pesa nzuri na anakaa kwenye nyumba yake Tegeta ila alimkorofisha sana mkewe kumnyanyasa sana kumfuja hatimaye mke akaondoka na watoto weeh yaani hivi niandikavyo binamu anatia huruma. Naomba ni wanaume mnieleweshe.... kwanini huwa mnakata tamaa sana, mkizoea kuishi na mwanamke akiwa mbali nanyi huwa hamuwezi kuendelea mbele?
Sijui mnaenielwa....!!!?
Kasie Kasiba.
Huyo jamaa ni Mkristo maana sisi waislam hatubabaishwi na mwanamke kuondoka.Halafu mkishaitika nisaidieni haya maswali yanayonizonga kichwani maana sielewi atii....
Hivi mwanaume ulishakuwa na familia maana ya mke na watoto kadhaa, kwa namna yeyote ile yule mwanamke akiondoka kwenye nyumba na watoto akakuacha uendelee na maisha mwenyewe huwa inawauma sana? Hata kama kuna magomvi yaani mwanaume anaweza hata kukonda na au kuwa mlevi na hajijali tena? Unakuta huyu mwanaume ana hela zake ila kuachwa na mke na watoto anakuwa anashindwa kabisa kuendelea kuishi.... bila kujali yeye mwanaume kila siku ndo alikuwa anamtamkia mkewe kuwa ntakufukuza na vifaranga vyako, hata ukiondoka hata sijali tena ntaoa mwanamke mwingine. Shangaa sasa mke akiondoka..... haoi hanunui milupo badala yake kila siku anadhoofika..... sielewi nini huwa kinatokea.
Hiki nilichoona hapo juu nina ushahidi nacho, binamu yangu mmoja yuko hooii amebaki kwenda kazini tuu ndo nguvu aliyonayo. Ana pesa nzuri na anakaa kwenye nyumba yake Tegeta ila alimkorofisha sana mkewe kumnyanyasa sana kumfuja hatimaye mke akaondoka na watoto weeh yaani hivi niandikavyo binamu anatia huruma. Naomba ni wanaume mnieleweshe.... kwanini huwa mnakata tamaa sana, mkizoea kuishi na mwanamke akiwa mbali nanyi huwa hamuwezi kuendelea mbele?
Sijui mnaenielwa....!!!?
Kasie Kasiba.
Karibu Ifakara tuonane basihahhaha nna kalikizo ka week2 acha nikatendee haki kwakwel!hapa ntapaa kwenda dar,nimetoka Ir,nikaja Ifakara,namalizia dar bbyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy ! ikiwezekana niend na mwanza kbs !nikrUd ni PASAKA !ndo muone uwepo wetu tukiwa na nyinyi!tusichukliane poa !lol
Daaah, inawezekana UMRI ndo umekusukuma unene hayo; Unamkumbuka mtoto wa Dandu, Juma Nature na Sinta? Muulize Afande Sele, Barnaba Boy....n.khuyo atakuwa mvulana aisee, tunaumia sio kwa kukaa na kuanza kulia huo ni ukhanithi
Daaah, inawezekana UMRI ndo umekusukuma unene hayo; Unamkumbuka mtoto wa Dandu, Juma Nature na Sinta? Muulize Afande Sele, Barnaba Boy....n.k
"Umeondoka umeniacha na mawazo mwenzioooo
Umeondoka umeniafanya kila nionapo picha zako ni kiliooo
Hayanilizi mapenzi, kinachoniliza mimi mazoeaaaa
Nilikupenda kwa dhati ndio mana hadi nguo tulisheaa"
Alipoondoka Mama Tunda!
Wazee wengi waliozeeka na wake zao, ikitokea mke akatangulia mbele za haki, mume hatadumu! Vice versa is true.
Njoo kwangu mimimh! Huyo binamu yako mshawishi "mie nije huko nimpe faraja" upweke sio dili
You know you miss it when it's gone!Halafu mkishaitika nisaidieni haya maswali yanayonizonga kichwani maana sielewi atii....
Hivi mwanaume ulishakuwa na familia maana ya mke na watoto kadhaa, kwa namna yeyote ile yule mwanamke akiondoka kwenye nyumba na watoto akakuacha uendelee na maisha mwenyewe huwa inawauma sana? Hata kama kuna magomvi yaani mwanaume anaweza hata kukonda na au kuwa mlevi na hajijali tena? Unakuta huyu mwanaume ana hela zake ila kuachwa na mke na watoto anakuwa anashindwa kabisa kuendelea kuishi.... bila kujali yeye mwanaume kila siku ndo alikuwa anamtamkia mkewe kuwa ntakufukuza na vifaranga vyako, hata ukiondoka hata sijali tena ntaoa mwanamke mwingine. Shangaa sasa mke akiondoka..... haoi hanunui milupo badala yake kila siku anadhoofika..... sielewi nini huwa kinatokea.
Hiki nilichoona hapo juu nina ushahidi nacho, binamu yangu mmoja yuko hooii amebaki kwenda kazini tuu ndo nguvu aliyonayo. Ana pesa nzuri na anakaa kwenye nyumba yake Tegeta ila alimkorofisha sana mkewe kumnyanyasa sana kumfuja hatimaye mke akaondoka na watoto weeh yaani hivi niandikavyo binamu anatia huruma. Naomba ni wanaume mnieleweshe.... kwanini huwa mnakata tamaa sana, mkizoea kuishi na mwanamke akiwa mbali nanyi huwa hamuwezi kuendelea mbele?
Sijui mnaenielwa....!!!?
Kasie Kasiba.
Karibu Ifakara tuonane basi
kama hautojali
Halafu mkishaitika nisaidieni haya maswali yanayonizonga kichwani maana sielewi atii....
Hivi mwanaume ulishakuwa na familia maana ya mke na watoto kadhaa, kwa namna yeyote ile yule mwanamke akiondoka kwenye nyumba na watoto akakuacha uendelee na maisha mwenyewe huwa inawauma sana? Hata kama kuna magomvi yaani mwanaume anaweza hata kukonda na au kuwa mlevi na hajijali tena? Unakuta huyu mwanaume ana hela zake ila kuachwa na mke na watoto anakuwa anashindwa kabisa kuendelea kuishi.... bila kujali yeye mwanaume kila siku ndo alikuwa anamtamkia mkewe kuwa ntakufukuza na vifaranga vyako, hata ukiondoka hata sijali tena ntaoa mwanamke mwingine. Shangaa sasa mke akiondoka..... haoi hanunui milupo badala yake kila siku anadhoofika..... sielewi nini huwa kinatokea.
Hiki nilichoona hapo juu nina ushahidi nacho, binamu yangu mmoja yuko hooii amebaki kwenda kazini tuu ndo nguvu aliyonayo. Ana pesa nzuri na anakaa kwenye nyumba yake Tegeta ila alimkorofisha sana mkewe kumnyanyasa sana kumfuja hatimaye mke akaondoka na watoto weeh yaani hivi niandikavyo binamu anatia huruma. Naomba ni wanaume mnieleweshe.... kwanini huwa mnakata tamaa sana, mkizoea kuishi na mwanamke akiwa mbali nanyi huwa hamuwezi kuendelea mbele?
Sijui mnaenielwa....!!!?
@Kasie Naam, ujue kwanza swala la mwanaumke kuondoka linakuwa lina mambo mengi huenda umeondoka baada ya kuwa sitekelezi kile ambacho ulikuwa unahitaji na umechukizwa sana na tabia zangu flan, mfano nakulazimisha nikuingie kinyume na ww hutaki umechukia unaondoka ila mimi mwanaume nafanya kwakuwa ni moja ya masharti sina jinsi, mke akiondoka lazima ntaumia, mwanamke anawez akaondoka baada ya kugundua ninmegundua siri zake za ndani ambazo hakutaka nizifahamu nikakaisirika sana na nikamtaka aondoke.
Kila mwanaume anapoona mke wake anaondoka na huku alikuwa anampenda sana lazima kimuume, wanawake huchukua fursa ya kuringa pale anapoona mwanaume anamuonyesha upendo, sasa hutokea humuomba kitu cha thamani amabacho ha na hawezi basi huwa anasikitika sana mke akiondoka.
Kasie Kasiba.
Haswaaaaaa ni mwanaume suruali, wavulana,na wale wanaume baadhi, waliotokana na malezi mabovu na makuzi mabovu tu ,ndio Hawajui thamani ya mke.Naam Kasie,
Inawezekana sana mwanaume akashindwa kujiongoza pindi mke akiondoka. Humu mitandaoni huwa watu watabisha na kusema "huyo ni mvulana", "mwanaume suruali", lakini mara nyingi divorces zinaleta matatizo na kuyumba kwa watalaka na hatimaye wengine huishia kutumia mihadarati na pombe.
Vijana hawawezi kuelewa coz bado hawajui maana ya mke ndani ya nyumba.
Labda uwe muislam ambae hukulelewa vyema ndio hutojua maana ya mkeHuyo jamaa ni Mkristo maana sisi waislam hatubabaishwi na mwanamke kuondoka.
Wapi hiyo shoooo ninakaribia miezi miwili sasa sipo home baaasi nikwambie natongozwa upya pya nachumbiwa mwenzio simu zisizo na idadi hahahaha za i miss you baby girl leo nimekuwa baby!!! Shutuuuuhhehehehe mie sipo kwangu toka alhamis !bas hayo maswali ya"UNATEGEMEA KURUDI LINI' meeeeeengi!pyeee !
apambane nna hali yake! au la akafie hukooo!(BInamu yako)