Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Asante kwa kunipa za mbavuTunapenda mmoja ila tunatamani wengi
Wanaume wengi hawawez kuridhika na mwanamke mmoja kwa taarifa yako
Asante kwa kunipa za mbavuTunapenda mmoja ila tunatamani wengi
Wanaume wengi hawawez kuridhika na mwanamke mmoja kwa taarifa yako
Pole mamiiAsante kwa kunipa za mbavu
Kwa hiyo mkuu kwako kuchepuka kuwepo ila kuwe na heshima unataka kuhalalisha haramu iwe halali.Pole mamii
Ndiyo tulivo
Cha msingi usimfuatilie Fanya yako basii
Kusema Kweli huwa tunachepuka ila Nyumban heshima debe
Mwanaume anaye dharau hom huyo ni Mpumbavu
Tuna chepuka lkn kwa akili
Hii mada inanikumbusha machungu sana wanaume kipite tu kimbunga kiwabebe tubaki peke yetu labda tutakuwa na amani
Habari ya mchana....
Huyu kaka niko naye kwenye mahusiano kwa muda sasa niseme tu ameokoka anasali haya makanisa ya kiroho.Nilimpenda japo yeye hakunipenda kama alivyokua ananiaminisha.
Sasa bwana last week tulikua pamoja kwake.
Asubuhi alitoka,katika pitapita zangu nikakuta nguo za kike na viatu.
Mapigo ya moyo yalishtuka kidogo, baada ya kurudi nauliza vile vitu ni vya nani jibu nililopewa ...kiherehere changu kimeniponza kwanini niangalie vitu vyake bila ruhusa yake!?
Nilichoka na jibu nikaamua tu kuondoka....Wanaume mpendwe vipi jamani!?
Nilichogundua nilikua mpango kando pasipo mwenyewe kujua........
Si angeniambia tu tunasogeza siku... kinachoniuma hakuniambia ukweli nikampenda mzimamzima......
Mkuu huu Ndiyo Ukwel bila chengaKwa hiyo mkuu kwako kuchepuka kuwepo ila kuwe na heshima unataka kuhalalisha haramu iwe halali.
Umemjibu vema.Kwenda hukoo kimpitie huyohuyo wako, wapenzi wetu bado wanatuhitaji sisi
Aisee inabidi tukubali ukweli hakuna namnaMkuu huu Ndiyo Ukwel bila chenga
Sijahalalisha mimi nlikuta nitaacha na utaendelea
Hii ishu ipo automatic tuu
Ni wachache Sana wanaweza kuvumilia ile hali
Viongoz wa dini wenyewe wanashindwa baadhi lkn
Kwa hiyo Ni kitu ambacho kipo
Ila tunashauriwa Mke wa ndoa asijue Nyumban kuwepo na heshima
Hakuna mwanaume wa Mke mmoja Kati ya 100 bas ni 2 au 3
Aisee haya maneno mazito sana Mkuu
Wengine hatujui kosa letu Mkuu
Njoo kwangu basi,me ntakupendaHahitaji kubadilika....alinifanyia visa vingi nikavumilia ila kwa hili ameamua kunionyesha wazi siwezi tena
Niko nae hapa tunakunywa,ngoja nimuoneshe hii comment yakoHii mada inanikumbusha machungu sana wanaume kipite tu kimbunga kiwabebe tubaki peke yetu labda tutakuwa na amani
Skia,najua kwa sasa umeumizwa,ila nakuahidi sitokufanya uwe mwenye huzuni tena,na hili kwako halitojirudia kamwe. Naomba uniamin kwa haya nisemayo japo kidogo tuHilo neno nakupenda sasa silipendi
Always nitakufanya uwe mwenye furaha na kutabasamu Siku zote za maisha yetu,huzuni na vilio havitokuwa na nafasi kwetu,japo changamoto za hapa na pale hazikwepeki ila tutamuomba Mungu alinde penzi letu kwa pamoja tuweze kufikia malengo na shetani asiweze kuingilia kamwe,itikia amen basi.Unanifurahisha mkuu...umenifanya nicheke
Always nitakufanya uwe mwenye furaha na kutabasamu Siku zote za maisha yetu,huzuni na vilio havitokuwa na nafasi kwetu,japo changamoto za hapa na pale hazikwepeki ila tutamuomba Mungu alinde penzi letu kwa pamoja tuweze kufikia malengo na shetani asiweze kuingilia kamwe,itikia amen basi.



Mnafanan tabia wacha mpigwe na kimbunga
You see umeshaanza kutabasam nami nafurahi kukuona ukiwa hivyo,na daima hali hii itadumu nakuhakikishia,