Nyoka mwenye makengeza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 870
- 779
Pole kwa njaa na Kiu.
Hawabadiliki ng'oUna nafasi kubwa ya kumbadilisha
Nakuomba please Ni pm nimekaa single mda mrefu leo Mungu aliniambia utapata mpenzi bila kutazamia na ndo hivi nahisi umekuja..nakuomba Ni jib meseji yangu niliyokutumia PM
PLEASE PLEASE DO ME A FAVOR..NISHAKUPENDA MWENZIO SIJUI NIELEZEAJE UAMINI KAMA NI KWELI NAMAANISHA NIKABIZI MOYO WAKO TUYAJENGE MAISHA YENYEWE MAFUPI HAYA..YAANI NAKUAHID MBELE YA WANA JF NITATULIA TULI NA WEWE PEKE YAKO







Atarekebishika tu,kwa asili ya mwanaume anaweza kuwa na wapenzi wengi ila atakayempenda kwa ajili ya maisha akawa ni mmoja tu.
Unambadilishaje?! Naomba wazoUna nafasi kubwa ya kumbadilisha
hujawahi kuona mwanaume anamrudia mpenzi wake huku analia?Hawabadiliki ng'o
Hii mada inanikumbusha machungu sana wanaume kipite tu kimbunga kiwabebe tubaki peke yetu labda tutakuwa na amani





i can relatehujawahi kuona mwanaume anamrudia mpenzi wake huku analia?
Ni kweli hapo ndipo tatizo lipoOmbea uwe the choosen one la sivyo utajutia effort zako ulizowekeza kwa mtu asiye sahihi
Labda umroge tuhujawahi kuona mwanaume anamrudia mpenzi wake huku analia?
Mtu alirudi analia huko siyo kubadilika. Ni majuto after not being loved uko nje anaona Bora kurudi.hujawahi kuona mwanaume anamrudia mpenzi wake huku analia?
Kabla ya kujua kipindi mmejuana nae vipi huyo mtumishi wa bwana alifanikiwa kupasua mashine?Mkuu baada ya kujua?
Habari ya mchana....
Huyu kaka niko naye kwenye mahusiano kwa muda sasa niseme tu ameokoka anasali haya makanisa ya kiroho.Nilimpenda japo yeye hakunipenda kama alivyokua ananiaminisha.
Sasa bwana last week tulikua pamoja kwake.
Asubuhi alitoka,katika pitapita zangu nikakuta nguo za kike na viatu.
Mapigo ya moyo yalishtuka kidogo, baada ya kurudi nauliza vile vitu ni vya nani jibu nililopewa ...kiherehere changu kimeniponza kwanini niangalie vitu vyake bila ruhusa yake!?
Nilichoka na jibu nikaamua tu kuondoka....Wanaume mpendwe vipi jamani!?
Nilichogundua nilikua mpango kando pasipo mwenyewe kujua........
Si angeniambia tu tunasogeza siku... kinachoniuma hakuniambia ukweli nikampenda mzimamzima......
Hakika...baada ya hapo pia atakua ashapevuka vizuri,atafta ile wanasema "follow your heart,but take your brain with you"Ndo ukubwa huo