Siyo lazima uongee na mtu... unachangia tu mada zinazoendana... unawapa pole ndugu wa pale...Ninakupata lakini ukifika pale utaongea na nani, unakwenda kumpa pole nani?
Ok, wakikuuliza utatoa pole labda kwa mume wa marehemu, atapokea pole, kabla hujafika kule ndugu wengine wanaweza kuuliza, unamfahamu vipi marehemu?Siyo lazima uongee na mtu... unachangia tu mada zinazoendana... unawapa pole ndugu wa pale...
Huo ni zaidi ya upuuzi na kutokujiamini.wanachukulia poa kila kitu, wengine wanaogopa kuachwa ndo maana wanabebelea upuuzi afanyao mwanaume. hahaaaa Nifah I wish nikuone cku ukimfumania...
Unaenda na mwanamke.. alafu yule mwanamke ndiyo anakuwa kama rafiki wa yule marehemu... ukiulizwa unasema... marahemu ni rafiki wa huyu...Ok, wakikuuliza utatoa pole labda kwa mume wa marehemu, atapokea pole, kabla hujafika kule ndugu wengine wanaweza kuuliza, unamfahamu vipi marehemu?
Huo upofu na unipitie mbali.Hujapenda Nifah! Mapenzi Ni upofu! Ni rahisi Kuona udhaifu wa wengine! Wetu hatuuoni...!
Unasema tu dada yangu mtu akiamua huwezi mdaka hata siku moja inategemeaHeheheheee
Sio tatizo,nitahakikisha namfanyia 'ziara za kushtukiza'
Mbona nitamfuma tu?
Mie mwanaume anidanganye labda niamue tu.
jamaa ana msiba mkubwa, hadi nimeukumbuka mchepuko wa jamaa yangu mmoja alipofariki, binti alizirai mara kadhaa sema ndo mchepuko na hata msibani hakufanikiwa kwenda coz tayari kuna walomfahamu.
najaribu kuwaza kwa sauti kama angefariki usiku ambao wapo wote na huyo jamaa sasa story ingekuwa nyingine
Yaani yangetokea wako pamoja Deo angekuwa anaisaida polisi, alafu ukute mke anamnaga wakati mwenzie anamajonzi.
Sasa kwa nini Deo amtembelee huyo binti wakati mumewe anaposafiri kama hakuwa na nia ovu? Deo na huyo binti walikuwa wanaangalia tu, inamaana Deo alifurahi kwenda kumtumbulia macho huyo binti?Hilo siwezi kujibu, lakini walizoeana sana.
Hakuna kitu sipendi kama hicho.
Wanaume sijui wakoje?
Eti akijua kakosea atajikusanya anunue vitu kibao!
Nilivyo nitamtimua navyo....
Ila kuna wanawake wajinga wanavipokea na kuchekelea.
Namna hiyo si atakuwa anafanya makosa akijua atakununulia vitu nawe utapoa?
Sasa kwa nini Deo amtembelee huyo binti wakati mumewe anaposafiri kama hakuwa na nia ovu? Deo na huyo binti walikuwa wanaangalia tu, inamaana Deo alifurahi kwenda kumtumbulia macho huyo binti?
Nakuambia hivi....Unasema tu dada yangu mtu akiamua huwezi mdaka hata siku moja inategemea
Tu ni shughuli gani anafanya..atakupeleka kutokana na mazingira na utamuamin tu..
Nakuambia hivi....
Mimi kudanganywa labda niamue mimi tu.
Na labda niwe simpendi ndio sitomfuatilia ila nitakuwa najua anachokifanya.
Acheni hizi mambo ya kujishusha,eti unakubali kabisa kuzidiwa ujanja!