Mtaachana
JF-Expert Member
- Mar 27, 2025
- 1,995
- 6,714
Anapeleka kwenye chamaKwangu hapana ,na wala siwezi danganywa ,achukue pesa apeleke wapi wakati wakati lengo la mahusiano ni kujenga kitu kimoja kwa pamoja?
Anapeleka kwenye chamaKwangu hapana ,na wala siwezi danganywa ,achukue pesa apeleke wapi wakati wakati lengo la mahusiano ni kujenga kitu kimoja kwa pamoja?
SijakuelewaAnapeleka kwenye chama
VikobaSijakuelewa
Mkuu hao mademu wamekuongopea..We jamaa unajsifia upuuz, wanawake asilimia 90 niliowahoji wanachukia wanaume weupe. Wanasema kitu black.
Mwanaume gani mkilala kitandani wote mnakana watumia carolight
Sasa vikoba vya nini tenaVikoba
Ukweli lengo la mahusiano ni hilo lakini ukweli ni kwamba vya mume na mke ni vya wote na vya mke na mume ni vya mke kaa ukijua hilo.Kwangu hapana ,na wala siwezi danganywa ,achukue pesa apeleke wapi wakati wakati lengo la mahusiano ni kujenga kitu kimoja kwa pamoja?
Ni hataree juzi wangu nmemuachia buku ten narudi kutoka job nakuta ugali na nyanya, namuulz ela nilio acha amepeleka wp ananiambia amepeleka rejeshoSasa vikoba vya nini tena
Mfundishe namna ya kutunza pesa zake mwenyewe vikoba ni ukilemaNi hataree juzi wangu nmemuachia buku ten narudi kutoka job nakuta ugali na nyanya, namuulz ela nilio acha amepeleka wp ananiambia amepeleka rejesho
Yeah naunga mkono hojaWafanyakazi wa Mchina wameamua kupiga picha ya pamoja na mtoto anaemlea huyo dada...
Mtoto baba yake na mama yake wote ni Wachina..
So uyo jamaaa apo ni beki tatuWafanyakazi wa Mchina wameamua kupiga picha ya pamoja na mtoto anaemlea huyo dada...
Mtoto baba yake na mama yake wote ni Wachina..
Utajua mwenyewe 😁ila mwanaume mmeupe kazi yake ni kuingiza na kuweka mbegu,kisha anasepa zake...hatupendi uchafu.Wafanyakazi wa Mchina wameamua kupiga picha ya pamoja na mtoto anaemlea huyo dada...
Mtoto baba yake na mama yake wote ni Wachina..
Wanasema wanawapenda wanaume weusi kwasababu ni type ya wanaume ambao nirahisi kumilikiwa na wanawake(ni wadhaifu sana kw wanawake) na niwanyenyekevu kwa wanawake kwasababu ya kutojiamini na rangi zaoUkweli wanawake wengi sana wanependa kuzaa na wanaume weupe. Hii ukatae au ukubali hata wao wenyewe wanasema hivyo.
Ila ukiwakuta front wanapinga vibaya mnoo
Hapo zote hizo ni beki ya kulia na ya kushoto sema kwa hao wachina hawana shida wanawachanganya pamoja tu hawataki kujua...So uyo jamaaa apo ni beki tatu
Lipia tangazoMkuu shombe shombe white wa kijiji hujambo? Lamba lips tusonge mbele. Ila unavutiaga sana ukiwa umejichanganya kwenye foleni pale sinza na wenzio ukingoja nyani wakuletee ndizi.