Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
kwahyo hautaki tena bas tunakutumia ww utufate tulipoTeh teh...
Nyie ndiyo wenye shida then tena mnaniona kivutio aaa aaa
kwahyo hautaki tena bas tunakutumia ww utufate tulipoTeh teh...
Nyie ndiyo wenye shida then tena mnaniona kivutio aaa aaa
Wa mbali unawaonaje??Hahaaaa hapana mkuu. Wa mtaani wanakuwa wamezoeleka kiasi kwamba unaweza waona wa kawaida!
Hahahakwahyo hautaki tena bas tunakutumia ww utufate tulipo

sitaki nauli zenu muanze kuniita mario
hahahhhh na thread tungekufungulia bora iwe rungu tukutane nayo kuliko mbilimbi aisee sipati picha hasira zakeHahahasitaki nauli zenu muanze kuniita mario
Alikuwa hajatoa tuKuna mwanamke nimemtongoza mda mrefu ananizungusha. Jumapili iliyopita kaniambia nimlushie nauri nikamtumia elf kumi na tano yeye anakaa tegeta, mzee mzima nimemsubili iyo jumapili ajatokea nampigia cm apokei. Nikaona isiwe tabu nikaenda kwawakala nilipolushia ela nikawambia nimekosea namba naomba iyo ela niloyotuma iludi. Nikaludishiwa ela yangu nikafuta na namba yake. Sipendi ujinga
Haha shindwahahahhhh na thread tungekufungulia bora iwe rungu tukutane nayo kuliko mbilimbi aisee sipati picha hasira zake
Wambali wanakuwa wakaree!Wa mbali unawaonaje??
hahahhhHaha shindwa
Basii kizuri kina gharama endelea kugharamia bila mafanikioWambali wanakuwa wakaree!

mia nne tu yantosha maana nnapokaa ni katikat ya mji popote naenda kwa 400 au 600Nikutumie bei gani uje Dar?
Alikua ajatoa badoAlikuwa hajatoa tu
Huyo hata mimi alinifanyia the same nikiwa Moshi na tulipanga kukutana. Yaani nilituma hela hadi basi. Nadhani atakuwa JaclineJanuari majuz tu nilikutana na demu moja hivi kwenye field kijiji fulani hapa arusha. Dem ni mwongeaji mzuri na yuko vizuri kwa hali zote. Nikamwomba anisaidie shughuli fulan alafu jioni nikamtoa na hela kidogo. Nikasahau kuchukua namba zake, coz sikuwa na mpango wa kurudi kule. Wiki ilopita nikapangiwa tena kule kijijin kwao, moyoni nikasema nimsake yule dem ili anipe kampan na anisaidie kazi coz ni mshap sana pia nilianza kumpenda... Nilifika kijijin kwao nikamsaka nilimpata, na alinisaidia Kazi vizuri tu, sasa jion nikatupa ndoano, akanijibu kuwa atakuja mjini ili tuongee vizuri ila hana nauli. Nikamwambia ntakutumia... Nilipofika mjini nikamwomba aje na nikamtumia nauli, mda ulienda hakuja, baadae akaniambia amekwama coz alikuwa na mgonjwa hivo ile hela imetumika. Tukapanga tena siku nyingine na nikamtumia nauli tena, akaniambia amekwama tena kwasababu mamake sijui nin nin, na akamalizia kuomba hela ya vocha na soda. Mda huo huo nikakata cm akashtuka akapiga sijapokea akapiga weeee na kupiga na kupiga baadae kwa msg akaomba atakuja jioni mjini, nikajibu asihangaike tena imetosha. Jana akanitumia msg kuwa kaja, sikumjibu
Ondoa shakasawa utume nyingi nyingi
Nina ndinga yangu mwenyewe nahitaji full tank bills au air ticket ya fast jetingia pm bas