Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Vipi ile nauli ushatuma?
Utapigwa parefu labda kama unabodaboda wako.
Wanabodaboda zao sehemu za buku wakija wanaongeza 5000 juu... utaskia foleni ilikuwa refu tukazungukia njia ya kwa mtogore
ww kuna kitu umeharibu haiwezekan tupe sbbu za kubadilisha jina nakuja ukoNjoo pm tuyamalize
Bas kheri la msing umtumie ki ukwel ukwel tuUmeonaee..
Kuna neema imemwangukia mtu.
Kwqni shemeji unataka kuja kweli?Vipi ile nauli ushatuma?
Nikutumie bei gani uje Dar?tuma tuu
Hahaaaa hapana mkuu. Wa mtaani wanakuwa wamezoeleka kiasi kwamba unaweza waona wa kawaida!Tongozeni wa mtaani kwenuau ushawamaliza
![]()
Namtumia...Bas kheri la msing umtumie ki ukwel ukwel tu
Ndio, nakuja kuona.Kwqni shemeji unataka kuja kweli?
Hakuna mwanaume anayeweza kukimbia na "nauli" yako. Kwanza kwa umario wa miaka hii atakuganda hadi shetani akimbie. Lakini na wewe utapewa "huduma" za uhakika ili um-keep.Mi kuna mwanaume nampenda,nataka nimtumie nauli aje kwangu..
Hope hatoniangusha.
STUNTER alisema wanaume ni kama mazombie, mbele ya P hayapindui.
hee usitafute nikuloge kwa limbwata aiseeHizo pesa siku zingine unawarudishia kwa dharau then unakuja kuchukua mara mbili yake eeeh
Aaa aaa kama ni hiyo jilipie pulizzzziNdio, nakuja kuona.
Mama usimwage mchele kwenye kuku wengi. Twende tukayamalize kuleww kuna kitu umeharibu haiwezekan tupe sbbu za kubadilisha jina nakuja uko
Wala usihangaike kulitafuta... mwandiko wako ni limbwata tosha kwanguhee usitafute nikuloge kwa limbwata aisee
Naisubiri buana..wewe ni exceptional buana!!
Pole mkuu. Hauko pekeakoMie kuna binti aliniomba nauli ya ishirini elfu nikatuma. Siku ya siku akasema gari lilimuacha na alikata tikiti kabisa ila akasema atasafiri kesho yake. Kufika kesho yake binti anasema anablidi na tumbo linauma. Ikawa hivyo hadi leo inaniuma sana hela yangu kila nikifikiria