Wanaume wenzangu kuweni wakweli

Wanaume wenzangu kuweni wakweli

Washikaji mnapojieleza kwa marafiki zenu wa kike /wachumba jaribun kuwa wakweli usijiite Manager ilihali si kweli Utaumbuka siku si zako.Kuwa mkweli tuu kwa Nia njema acha kuigiza[emoji13] mdada anakuuomba sh 10,000/= Manager unaanza kigugumizi[emoji23][emoji23]
Wewe uko upande upi? Au ndo ninyi akina delishazi!?
 
[emoji23]Ajabu ukiwaambia ukweli hawataki
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Hawa wadada wengine bila kuwadanganya huwezi kung'oa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Washikaji mnapojieleza kwa marafiki zenu wa kike /wachumba jaribun kuwa wakweli usijiite Manager ilihali si kweli Utaumbuka siku si zako.Kuwa mkweli tuu kwa Nia njema acha kuigiza[emoji13] mdada anakuuomba sh 10,000/= Manager unaanza kigugumizi[emoji23][emoji23]
Siyo kwa dunia ya sasa ambayo ukiwa muongo ndo unaonekana mjanja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom