Wanaume wenzangu kuweni wakweli

Washikaji mnapojieleza kwa marafiki zenu wa kike /wachumba jaribun kuwa wakweli usijiite Manager ilihali si kweli Utaumbuka siku si zako.Kuwa mkweli tuu kwa Nia njema acha kuigiza mdada anakuuomba sh 10,000/= Manager unaanza kigugumizi
Siyo kwa dunia ya sasa ambayo ukiwa muongo ndo unaonekana mjanja
 
Back
Top Bottom