Wanaume wenzangu hii ikoje

Ungelegeza maneno kidogo🤭🤭🤭 makali sana.
 
Dah🤔 sometimes ukweli unauma Bora hata usijue ,Nini kinaendelea.
 
... Hata huyu alikuwa hivyo, haipiti siku bila calls au meseji nyingi but ndo hivyo.. maisha.
 
Ungelegeza maneno kidogo🤭🤭🤭 makali sana.
Ukweli mtamu ni ule ambao ni mchungu! Huwezi kuishi nao kwa akili mpaka yakukute matukio kama haya ambayo yatauunguza moyo wako.

Binafsi siku ya kwanza kujua kuwa demu ninaye date nae ana date na jamaa wangu wa karibu niliishiwa nguvu za miguu, nilitaka kusimama ila miguu inakosa nguvu, kifua kilijaa ghadhabu kiasi cha kutaka kupasuka kifupi niliiona dunia imejikunja na kuwa ndogo kwangu.

Tokea nilipopigwa tukip hilo , akili ikafunguka, trust na mapenzi ya 100% kwa hawa viumbe yakapotea. Nilitaka kumchukia huyo mwanamke for life ila nikaona hakuna haja ya kuweka chuki moyoni, nikamchululia kama malaya wengine tu.

Usimwamini mwanamke kwa asilimia zote na ishara ya kwanza kuwa hana interest na wewe utaigundua katika mawasiliano baina yenu.

Chase a check ,never chase a bitch
 
Stori ndefuu alafu huna akili😂😂😂😂 yaani ushastukia mchezo si usikilize mafsi yako na madem kama hao ww kula mzigo muache aende akikuomba pesa kama unajiskia kisaidia mpe usipojiskia usimpe mwanaume unataka kuleta tabia za wadada hujiamini alafu huna maamuzi
 
Hiyo 150000 ulimpa?
 
Sema nini mkuu..
Pitia ule uzi wa kwanini tamisemi wanachelewa kuita watu makazini, na ule uzi watu wanaoenda dodoma kwenye interview, huwenda alikutana na wadau huko🤣🤣
Ule uzi kila siku naupita tu na naona comments zinajaa, kumbe kuna mambo mule! Ngoja na mimi nizame nione kilichopo😂
 
Sikuisomaa ilaa Tatizo ni helaa aliyotoaaa Kifalaa alafu demu kiukwelii kaenda kugongwaa na jamaa mwingineee...!!
Hawa mademu sio wa kuwachukulia kwa u serious hata kidogo hawa ni kuwagonga tuu , hela unatoa pale unapokua na uhakika wa papuchi ..sio unatoa toa hela kifala
 
Fungukajamaa!!

Au ya ugoro puani na kuchuchumaa MEZANI!!!?
 
We jamaa bhana ,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] inabid uingie top four sio
Ndio hivyo mwanawane. U can never be just the one kwa mwanamke. Hapa kila kidume anapambana angalu aingie top four acheze champions league.
Let no woman lie to u bro, they all have four guys they give their pussssy to. U just have to be among the four😜
Fear women i tell u!
 
Common sense pls. Nothing good would ever come even if dude will think positively about this situation. She's a cu.nt, simply I can say she's a ho. giving her a call and not picking up the phone and also rejecting to go to the dude's house should be taken as warning before their relationship go abyss.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…