loh Mtambuzi, umetuwekea handsome boy.... Ma handsomeboy hawana mpango, ni headach tupu....
Ha ha ha haaaaaa, ndio nagundua kuwa huyo jamaa unafanana naye kwenye eneo la forehead... Ha ha haaaaaa, mkuu una haki ya kupingana na mimi leo kwani zimeumana aiseeee................!!!!!!!!!LOL
Kwa kuongezea mwanaume wa kukifu haraka utamjua pia kwa kazi anayofanya na alizo wahi kufanya, anabadilisha aina ya kazi anayofanya kila baada ya mda fulani (mwingine wala habadilishi sana kazi ila mara nyingi huwa majiriwa wa nafasi nzuri yenye kuwezesha usafi). Ni mcheshi na rahisi sana kujichanganya na watu wa jamii yako iwe marafiki ama familia na huwa sio tabu wao kulala na rafikio ama ndugu. Wapo selfish, anataraji wewe mwanamke uwe more attentive kwao kuliko wao kwako. Anatabia ya kukubomoa confidence yako... Kwa kauli za kukuvunja ama kukukatisha tamaa.. Ni hatari kwa mtu ambaye yupo weak emotionally na kimsimamo.
Mara nyingi mtu wa hivi huwa kwa kiasi kukubwa, ni smart sana (nakshi), hujitunza sana mwili na kiafya kamwe hajiachii, ni ni handsome will a killer smile ya kukunyong'onyeza nguvu kama hauko makini. Take note siseme wanaume smart and handsome wote wapo hivo. Hayo ni mawazo yangu..
Ha ha ha haaaaaa, ndio nagundua kuwa huyo jamaa unafanana naye kwenye eneo la forehead... Ha ha haaaaaa, mkuu una haki ya kupingana na mimi leo kwani zimeumana aiseeee................!!!!!!!!!LOL
Kwa kuongezea mwanaume wa kukifu haraka utamjua pia kwa kazi anayofanya na alizo wahi kufanya, anabadilisha aina ya kazi anayofanya kila baada ya mda fulani (mwingine wala habadilishi sana kazi ila mara nyingi huwa majiriwa wa nafasi nzuri yenye kuwezesha usafi). Ni mcheshi na rahisi sana kujichanganya na watu wa jamii yako iwe marafiki ama familia na huwa sio tabu wao kulala na rafikio ama ndugu. Wapo selfish, anataraji wewe mwanamke uwe more attentive kwao kuliko wao kwako. Anatabia ya kukubomoa confidence yako... Kwa kauli za kukuvunja ama kukukatisha tamaa.. Ni hatari kwa mtu ambaye yupo weak emotionally na kimsimamo.
Mara nyingi mtu wa hivi huwa kwa kiasi kukubwa, ni smart sana (nakshi), hujitunza sana mwili na kiafya kamwe hajiachii, ni ni handsome will a killer smile ya kukunyong'onyeza nguvu kama hauko makini. Take note siseme wanaume smart and handsome wote wapo hivo. Hayo ni mawazo yangu..
sura sio roho. Totaly naomba kupinga.kila mtu ana ulemavu wake. Sio wote wenye sura hiyo wapo hivyo. Hata makka na vatcan kuna wachawi. Lkn hata tanga na sumbawanga watakatifu wapoila akikutokea humkatai?
Nime take Note yako. Sio wote wako na tabia hyo. Kosa la Mtambuzi ni kuconclude kuwa wote wako na tabia hizo.
Hata hivyo kuna wale wenye sura kama hiyo hapo juu ambao kwa kweli wametulia sana. Lakini hawa sio wengi hata hivyo, kukutana nao ni kama bahati tu.
Sura hiyo hapo juu ni ya mwanaume. Hebu itazame vizuri sana, kuanzia midomo, pua, macho na paji la uso. Hiyo ni sura ya mtu wa namna gani kitabia na je, umeshawahi kukutana na mwanaume mwenye sura kama hiyo? Kama umeshawahi kukutana naye, utajua kwamba, ninapozungumzia tabia na sura ninazungumzia jambo ninalolifahamu.
Pamoja na kuwa wachangamfu, lakini undani wamefutika maumivu pale wanapoona wengine wamefanikiwa au wanafanikiwa. Hebu tazama mboni za macho yake. Mboni za namna kama zilivyo hizo, zinaashiria aliyenazo kukosa amani na kujaa nguvu hasi zenye kuwaka moto.
Ni watu ambao kuingia kwenye masuala ya ushirikina ni rahisi sana. Kujikuta wakienda kwa waganga au kuamini kwamba, mambo yao hayaendi vizuri kwa sababu wamelogwa ni jambo la kawaida sana. Ni kama vile wanatafuta suluhu kwa njia ya wao kujitoa kwenye kuwajibika kwa makosa yao.
Kama siyo kunywa pombe, basi utawakuta wakiwa wanapenda sana wanawake, lakini hata wanawake hutokea huwapenda wao pia. Kinachofanya wanawake kuwapenda ni ule ucheshi na utani wao. Ni watu wacheshi na wenye utani mwingi ingawa kuna wakati utani wao huumiza.
Hawaaminiki sana kwenye uhusiano au ndoa, kwani wanaonekana kumchoka mpenzi haraka kuliko inavyotarajiwa. Wanapomchoka mpenzi wanakuwa na kauli chafu sana na dharau na masimango mabaya. Lakini wakati wanapoanzisha uhusiano, watu wema na waadilifu kama wao hakuna. Wanajua kubembeleza na kutia moyo na wanajua kushawishi na kufariji, lakini ni kwa muda tu.
Hata hivyo kuna wale wenye sura kama hiyo hapo juu ambao kwa kweli wametulia sana. Lakini hawa sio wengi hata hivyo, kukutana nao ni kama bahati tu.
Mkuu tatizo lako unasoma tu heading basi unakimbulia kuweka comment, haya soma hapo nilipo quote useme ni wapi nime conclude.................
Zimeumana aisee.................LOL