the american dream
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,754
- 837
mkuu kuna nini hapa au umesikia mimi nina elimu kubwa ??
Post kama hizi ukicomment you always made my day!
mkuu kuna nini hapa au umesikia mimi nina elimu kubwa ??
Kwani mwanamke mkali hawezi kuwa wife material?????
kila mtu anamzuri wake jaman waweza ona mbaya wakati mwenzio anamuona malkia
kila mtu anamzuri wake jaman waweza ona mbaya wakati mwenzio anamuona malkia
Eeeh haya bwana kumbe ntaolewa na msomi....
Yaani hiyo ndiyo tofauti ya msomi na asiye msomi!! Priority, wale wakitaa maisha yao ni ya show, watoto wazuri anataka maisha ya kujishow!! Hela za ngada na za kuotea hiyo ndiyo kazi yake
Msomi kila senti ina mipangilio, eti anavuja jasho mwezi mzima then uje ufanyie show hela yake, patachimbika! So, anahitaji mke wa kawaida sana, asiye na makuu ili life liweze kusonga!!
Yaani hiyo ndiyo tofauti ya msomi na asiye msomi!! Priority, wale wakitaa maisha yao ni ya show, watoto wazuri anataka maisha ya kujishow!! Hela za ngada na za kuotea hiyo ndiyo kazi yake
Msomi kila senti ina mipangilio, eti anavuja jasho mwezi mzima then uje ufanyie show hela yake, patachimbika! So, anahitaji mke wa kawaida sana, asiye na makuu ili life liweze kusonga!!
kila mtu anamzuri wake jaman waweza ona mbaya wakati mwenzio anamuona malkia
kila mtu anamzuri wake jaman waweza ona mbaya wakati mwenzio anamuona malkia
Utapost vipi picha ya mkeo kwenye mitandao ya kijamii....??
ukiwa na maana gani hasa....??
Unamuuza....??
Umeoa kwa ajili ya kuwaringishia watu au ili watu wakuone kuwa nawe umeoa..
...??