ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,972
Huu uchunguzi wangu nilioufanya kalihusisha marafiki zangu wengi ambao tuligraduate nao Miaka ilyopita.
wengi wao wameoa wanawake wasiokua na mvuto, wanashindwa hata kutoka nao out, hata kuwatambulisha kwa marafiki zao.
Mara nyingi hata ukifungua kwenye social network zao ni hadimu sana kuwa aplod kwenye wall zao huishia ku aplod za watoto wao.
Tukija upande wa pili, wale vijana wa kitaa ambao Elimu yao ni ya kawaida tu ndio wanamiliki wadada wazuri
hivi tatizo ni nini.
wengi wao wameoa wanawake wasiokua na mvuto, wanashindwa hata kutoka nao out, hata kuwatambulisha kwa marafiki zao.
Mara nyingi hata ukifungua kwenye social network zao ni hadimu sana kuwa aplod kwenye wall zao huishia ku aplod za watoto wao.
Tukija upande wa pili, wale vijana wa kitaa ambao Elimu yao ni ya kawaida tu ndio wanamiliki wadada wazuri
hivi tatizo ni nini.