Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 10,488
- 20,039
Tena bora umekuta na huyo, mim ningekuambia kabisa nimeteuliwa baraza la mawaziri, alafu nawa set wapambe wangu wawili kazi yao kubwa ni kukufanyia sapraizi kwa kuniita jina tu la mteule mmoja wa raisi [emoji23][emoji23].
Tatizo mnapenda 'material things' sana. Sasa ngoja tuwakomeshe.
Tatizo mnapenda 'material things' sana. Sasa ngoja tuwakomeshe.