Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Ndio inavyokuwaga, anamsaliti anayempenda kweli kwa tamaa za kijinga af anaishia kuchezewa tuyaani ni uwongo mwanzo mwisho akija shtuka kasha chanuliwa mara 5 hata hamu ya kubana tena hana unabaki unajipigia kama mbwa koko hahahahhaha leo raha sana dadeq utakuta aliacha watu wa maana akamuamini yahaya hakuna namna hahahahaha