Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
hehehe apo umenena madam gret sinker.....
Binafsi cku izi adi ananisifia kwa kumuandaa.....kumbe kila nikianza kumuandaa natafakri ile(man utd 8 - arsenal 2)......wat ze f@*k went wrong
kile kipigo kinanipunguziaga concentration.....ila baada ya hapo...analo mbna
Big up mdau hayo ndio mambo yanayotakiwa co kudandiana km kuku,km ni ya kweli hayo huyo unakula peke yako na ni wako milele!