Wanaume wengi ni wajinga

Ahaaa kumbe ndio wewe ulivyokuwa unanipiga jicho hadi nikaona aibu kulishwa na mbebezi wangu..

Kuhusu simu, smart yangu ilikuwa imekata moto, niliitiliza tu ndani ya kipochi cha suruali.

Siku nyingine usinikodolee macho hivyo
 
Right now
 
Mawazo mgando, kifupi kila mmoja huwa na standard zake ukishasema outing ya tsh 10 bila shaka kila mmoja atapata picha ya hali ya kimaisha ya mwanaume huyo.

Pia wewe kuiona aina ya simu atumiayo kwa wakati huo haimaniishi hali yake ni duni, na kwa taarifa yako hakuna watu mabahili kama matajiri haswa wale waliozitafuta kwa jasho lao. So never judge a book by its cover.
 
Hawa wadudu dawa yao gunia mbili za mkaa mana wanatuona sisi ni maboya kisa vipapuchi vyao. Afu akikupa kipapuchi chake anaona kakupa utajiri vipapuchi vyenyewe unakitafuna kinatoa harufu basi tu nature tumeumbwa lazima tuvipende
 
kama ni mtaji nimekupa mil 10.
60% ni yangu.

mambo ya mke na mume ni ndani sio kwenye biashara.

Aisee interesting!
Naona hapo mke ni anatumika kukuzalishia wewe
But if she is smart na ana mkono wa biashara bado anaweza kukufunika na ile prenup agreement itakufunga mwenyewe
 
Kitu kimoja nilichonote kwa mleta thread ni kwamba, hana hela, hana mpenzi au hana raha kwenye mahusiano yake.

Ndiyo maana anajaribu kujipa faraja kwa kuangalia kama kuna wenzake.
 
Basi acheni kuzipapatikia kama hamtaki tuwaone maboya
Hawa wadudu dawa yao gunia mbili za mkaa mana wanatuona sisi ni maboya kisa vipapuchi vyao. Afu akikupa kipapuchi chake anaona kakupa utajiri vipapuchi vyenyewe unakitafuna kinatoa harufu basi tu nature tumeumbwa lazima tuvipende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…