Wanaume wengi ni majanga........

Wanaume wengi ni majanga........

fiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,144
Reaction score
79
Hivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
 
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

Weka Picha.
 
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

Mimi ni mwanaume. Nimeombwa namba Mara nyingi na wamama/ wadada kwenye semina/ workshop/ talk shop. Wasemaje....... wadada/wamama majanga
 
Ahahaha, weeh dada mbona mgomvi? Hawajatimiza ahadi? Mie namngojea Excel hapa ananipeleka brazil kuangalia world cup all possible matches kutegemeana na ratiba. Bata batani!
 
Last edited by a moderator:
Akiwa jin poa tu..mapenz hayachagui cku ya kwanza au ya pili...
 
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
Sasa mkuu ulitaka ukutane nae mara ngapi? hao wanao ahidi ndio majanga ana ahidi hata baskeli hana....
 
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

Regina unafanya kazi bar?
 
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

Kwanini wawe majanga? au wamekufanyia kazi kusini kwako?
 
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

kweli sisi ni majanga umajanga wetu ni kukugegeda.
 
Back
Top Bottom