Mimi niko Rombo huku. In short ni kweli huku ulevi umekithiri.
Kila aina ya pombe unayoijua iko huku Rombo.
Huku kuna pombe ambazo huwezi kuzikuta sehemu nyingine.
Kuna bia za 500 mpaka 1,000.
Suala la wanaume kutohudumia familia zao binafsi nimeona ni kama utamaduni wa wachagga. Hata wanawake hawaweki akilini suala hilo kwamba atasaidiwa na mwanaume.
Huku wanawake wanapambana mpaka machinga mitaani kutembeza nguo na viatu.
Unaweza kukuta ndani ya nyumba wote hawaelewani.
Mama anauza duka lake, mtoto ana kigrocery cha bia hapo hapo na huku mzee wa familia yeye anuza mbege.
Nimegundua pia mchaga anakuheshimu kama una 'kitu'
Vile vile suala la unaguzi wa wachagga huwa ni hadi wao kwa wao huku.
Mfano leo nimekytana na baba mmoja mahakamani anashtakiana na mwanaye kwasababu ya shamba. Mzee anamwapia mabaya mpaka basi.
Mwisho kabisa, mademu wa Rombk ni wazuri ila nakuasa ninwa kupiga na kusepa kama unapenda kwenu na famikia yenu. Kaoe kwingine