Wanaume wasioelewa somo

Wanaume wasioelewa somo

Alinikera zaidi pale alipo niambia MUMEO kwani hana mwengine nje anao tele na anakutekenya tuu mwarabu yule njoo kwa dume la mbegu nikupe raha,nilisikia kama vile ananikita na kisu chenye ncha kali,na ukizingatia ni mtu mzima hana aibu hana..
Du!Mpaka kufikia hapo basi huyo jamaa anataka kukuvua chu.....,kuwa makini na kila linaloendelea sasa maana kama ana uwezo kifedha basi ujue pia ana uwezo wa kufuatilia nyendo za mumeo,cha msingi ni kuwa na msimamo kama kweli unampenda mumeo na ndoa yako na chukulia hili kama changamoto nyingine ambazo umewahi kuzishinda,mweke Mungu wako mbele na atakuvusha katika kizingiti hiki ulichonacho.
 
Samahani lakini.. mimi nadhani kuna tatizo kwa wanawake wengi katika issue kama yako...hivi mtu anakusumbua muda wote huo na wewe humtaki unapokeaje zawadi zake, unaendeleaje kumsikiliza kila siku anapokuja, leo amekuletea simu umepokea..... Kwetu sisi wanaume kukataa kwenu haimaanishi kuwa hamtupendi kama mtaendelea kupokea zawadi zetu na kuzungumza nasi nicely.... kama humtaki tumia herufi kubwa akuelewe na akiendelea mpambanishe na huyo mumeo au mpenzi wako ila mazingira unayoyaendeleza nakuapia ipo siku yatakugharimu. wanaume huwa tu- waelewa sana lakini kwa wanawake walio serious na wanachokisema.
NIMPENDENANI
 
Last edited by a moderator:
Du!Mpaka kufikia hapo basi huyo jamaa anataka kukuvua chu.....,kuwa makini na kila linaloendelea sasa maana kama ana uwezo kifedha basi ujue pia ana uwezo wa kufuatilia nyendo za mumeo,cha msingi ni kuwa na msimamo kama kweli unampenda mumeo na ndoa yako na chukulia hili kama changamoto nyingine ambazo umewahi kuzishinda,mweke Mungu wako mbele na atakuvusha katika kizingiti hiki ulichonacho.
Ahsante kwa ushuri,na nimepitia kwenye vishawishi vingi na hawakua wabishi kama huyu mzee wengine ukiwambia nakuheshimu sana na nampenda mumewangu wanaelewa lakini huyu ukisema hivyo anakwambia maneno makali yani roho inauma mpaka nalia,kuna siku alinambia unadhani mumeo hana totoz nilishangaa akasema nenda kwenye cm yake ndio utajua kama hauko peke yako.....nimemwambia nimeshampa ruksa mumewangu kama anataka kuoa sawa sheria 4 sasa kama anaweza kutumudu sina neno lakini roho iliniuma nikalia peke yangu........
 
Mkuu nimemwambia siku ya pili baada ya ile siku nilomsaidia kua huyu babau simuelewi akacheka akasema na wewe kwakujitia Uhajat,nikamfata tena kumwambia ameleta chakula kasema na mie nipeni,imeletwa simu nikamwambia
ndipo alipo nambia mchune weeeeeeeee,sasa namuona nae sie vile vile

Pole sana, kama hakuna njia nyingine ya kufikisha malalamiko yako na haki ikatendeka basi hiyo ofisi yenu ina tatizo.
Kwa sababu kwa hali hiyo, ingebidi ulifanye hili jambo kiofisi na kwa kuweka rekodi kabisa, ila hapo naona bosi wenu nae maadili ya kazi yameenda likizo kwa sasa.

Lakini ipitie tena signature yako....
''You have a choice, you can either work hard at being yourself and being wildly attractive, or you can aim to please everyone around you.''
 
Samahani lakini.. mimi nadhani kuna tatizo kwa wanawake wengi katika issue kama yako...hivi mtu anakusumbua muda wote huo na wewe humtaki unapokeaje zawadi zake, unaendeleaje kumsikiliza kila siku anapokuja, leo amekuletea simu umepokea..... Kwetu sisi wanaume kukataa kwenu haimaanishi kuwa hamtupendi kama mtaendelea kupokea zawadi zetu na kuzungumza nasi nicely.... kama humtaki tumia herufi kubwa akuelewe na akiendelea mpambanishe na huyo mumeo au mpenzi wako ila mazingira unayoyaendeleza nakuapia ipo siku yatakugharimu. wanaume huwa tu- waelewa sana lakini kwa wanawake walio serious na wanachokisema.

Apana Mkuu sijapokea zawadi yake yoyote simu nimerejesha chakula sijakula na wala akija kazini hata akisema kitu cha kuchekesha mie sicheki....na ni kazi tuuuuuuuuuuuu..
 
Pole sana, kama hakuna njia nyingine ya kufikisha malalamiko yako na haki ikatendeka basi hiyo ofisi yenu ina tatizo.
Kwa sababu kwa hali hiyo, ingebidi ulifanye hili jambo kiofisi na kwa kuweka rekodi kabisa, ila hapo naona bosi wenu nae maadili ya kazi yameenda likizo kwa sasa.

Lakini ipitie tena signature yako....
''You have a choice, you can either work hard at being yourself and being wildly attractive, or you can aim to please everyone around you.''
Boss wangu namuheshimu as ni my boss na vilevile nimtu mzima,na heshima ni kitu cha bure,ana ishi karibi na sisi nimepanga weekend nimuombe aje nyumbani nionge nae ili nimueleze anielewe kua sifurahishwi na jambo na tabia ya yule mzee na inshallah atanielewa la ikiwa bado ndio ntatafuta njia....
 
nimempa huyo driver wake arejeshe na yeye pia nimemwambia asante nimerejesha zawadi asante....
Sikiza Mama mary eee, nakupa mbinu ya mwisho...ukiitumia uwe imara kikweli !! (hapa kwetu kuna TEAM ya kushughulikia wakware wa aina hiyo "fixers " ) wanajua kazi zao.
 
Sikiza Mama mary eee, nakupa mbinu ya mwisho...ukiitumia uwe imara kikweli !! (hapa kwetu kuna TEAM ya kushughulikia wakware wa aina hiyo "fixers " ) wanajua kazi zao.
Mkuu hiyo ndio aibu nisio itaka yani hata jeuri hiyo sina mwenzio usinione hivi yule babu akinambia kitu kinachoniuma roho nalia huka kote naanzaje?
wallah nimeacha uchungu nikacheka duuu...
 
Mkuu hiyo ndio aibu nisio itaka yani hata jeuri hiyo sina mwenzio usinione hivi yule babu akinambia kitu kinachoniuma roho nalia huka kote naanzaje?
wallah nimeacha uchungu nikacheka duuu...
Ukhtii Karima, Kulia kwako siyo kinga, Hebu sima sawasawa na imara usionyeshe udhaifu kwa maRijali , peleka ripoti na ujumbe kwa Bwanako, wahusika wa karibu ili wakusaidie vilivyo.
 
Nauliza tu simu umeipokea iphone 6????
Hili swali ndo nilitaka niulize,umenisaidia kiliuliuza. Ngoja nisome majibu yake halafu nimshauri. Ahsante Mkuu tinna cute

Apana nimerudisha na yule driver aloleta na nikamwambia asante .
Mkuu NIMPENDENANI hongera km kweli hujachukua hiyo iPhone 6,km umeweza hilo bado jambo moja tu! Mwambie ukweli kuwa umeolewa na huwezi kusaliti ndoa yako. Mwambie pia boss wako kuwa huyo mzee anakutongoza na hupendi kabisa hali hiyo. Hapo ndo utajua km boss ni kuwadi au la!!
 
Last edited by a moderator:
Hili swali ndo nilitaka niulize,umenisaidia kiliuliuza. Ngoja nisome majibu yake halafu nimshauri. Ahsante Mkuu tinna cute

Mkuu NIMPENDENANI hongera km kweli hujachukua hiyo iPhone 6,km umeweza hilo bado jambo moja tu! Mwambie ukweli kuwa umeolewa na huwezi kusaliti ndoa yako. Mwambie pia boss wako kuwa huyo mzee anakutongoza na hupendi kabisa hali hiyo. Hapo ndo utajua km boss ni kuwadi au la!!

Kama utaniamini ndio jambo la kwanza nilomwambia alipo nambia napenda harufu yako ya perfume inani turn on nikamwambia ameninunuliaa mume wangu, yani baada ya hapo ndio kacharuka nika block number yake kwenye cm yangu alipo kuja kazini akaniuliza cm yako inanini nikamwambia haina neno, haku ongea zaidi ndio akaniletea cm mpya baada ya 2 days akasema ananipa ili akipiga anipate hataki excuses ...
 
Last edited by a moderator:
Ukhtii Karima, Kulia kwako siyo kinga, Hebu sima sawasawa na imara usionyeshe udhaifu kwa maRijali , peleka ripoti na ujumbe kwa Bwanako, wahusika wa karibu ili wakusaidie vilivyo.

Silii mbele yake yeye ila nahisi dhiki sina wakumwambia langu nahisi vipi au natakaje, mamangu ndio alikua msiri wangu baada ya kufariki yeye sijazowea langu kumwambia mtu na ndio mana nalia sijui Kama unanifahu, yani it's not easy for me at all.. Nalia sina mshauri niko na dada zangu Lakini hawato nielewa naongea nini na sitaki mtu anipe kitu ile kunisikilizaa na nikafarika kua anafahamu naongea nini au nini dhamira yangu pia inatosha.. Wallah sorry nahisi Kama nakukeraaa na dhiki zangu, inshallah kheir....
 
Zawadi chukua lakini usisaliti ndoa yako, kweni umemuomba si atoa kwa mapenzi yake. Yaani wanaume sometimes nashindwa kuwaelewa.
Sidhani kama ushauri wako ni sahihi.Huyu ni mke wa mtu na inampasa kukataa kwa maneno na vitendo kwa kutoikubali hiyo simu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom