MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,859
Apana dada siwezi,nimekinai siwezi sina nyingi lakini Alhamdulillah simu sioni kama ni chamana kuliko Heshima yangu..
Ok mwambie habari hii utaifikisha kwa mumeo....mueleze boss wako kuwa mtu wake ni msumbufu na hutopenda kudeal nae masuala ya kazi. Block his number.