NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
- Thread starter
- #61
Apana sijamwambia na sito mwambia,ni bora niache kazi nitafute kwengine,manake siunajua wanaume alishanikataza kufanya kazi sasa nikimwambia ndio atapata lakusema na kufanya kazi ndio kumeishia hapo na bado nahitaji kufanya kazi...hivi tangu aanze kukusumbua, umeshamwambia mumeo...?