Wanaume wasioelewa somo

Wanaume wasioelewa somo

kilichoumbwa na mungu kumnyima mwenzio dhambi

1 john 4:8

Whoever does not love does not
know God, because God is love.

Umetafsiri vibaya mkuu.
Upendo unaomaanisha hapa ni ule wa kwenye kitabu cha 1Korintho 13.
Na sio uzinzi na kutoka nje ya ndoa.
Naomba umuogope MUNGU usiyageuze maandiko kwa kuyatafsiri vibaya.
 
Umepokea zawadi yake?Kama ndivyo unazidi kumhamasisha.Na kama sivyo usipokee mwambie itahatarisha ndoa yako na wewe bado wampenda mumeo. Au unaogopa huyo bosi wako kuadi atakufukuza kazi?Siri moja sisi wanaume tunajua kushupalia mpaka tufanikiwe hatukati tamaa.!!!
 
Kumbuka mmiliki wa iphone anapenda facebook ya bure.jiandae kutoa facebook ya bure plus plus
 
Mtanulie tu kibox manyoya hakina speed mita kwamba kitaonesha kimetumika kiasi gani
 
chukua dadaa.....ya nn kujitesa ??panua ubadili ladha
 
Huwa hatuulizi swali kama hilo huyu mtu mzima hahahaaaa simu kapokea bana anaanzaje kuiacha???

Nilikuwa nahakiki tu!!!!! yataka roho ya chuma kuoachia iphone6 haswaaaa kwa wadada wa mujini
 
ooooh!!!! unaomba ushauri wa nini???? kama humtaki usiseme kwa maneno na vitendo pia

ushauri mzuri huu, shida mdada anakukataa kwa maneno huku matendo yanaashiria 'niyangusage'

Naamini akitumia short and clear words halafu akasimamia msimamo wake plus sura ya mbuzi, babu lazima ainue mikono. Lakini kama anataendelea kujifaragua ooh simu yangu haina tatizo wakati kumbe amemblock na anaogopa kumpa makavu kule nimekublock, babu ataendelea kusumbua!
 
 
Last edited by a moderator:
Habari za Mchana wana MMU,

Kuna mbaba janamani aliwahi kuja kazini kwangu Boss akanambia nimsaidie kazi yake, basi amekua msumbufu
mara kaleta zawadi mara napenda harufu ya Perfume yako, na amekua kila anapokua na shida hata kama
yupo wa kumsaidia nilazima aje kazini kunitafuta ,nikaanzisha kua akija wamwambie sipo, sasa Boss wangu
anajitia haelewi somo hata wenzangu wakimwambia hayupo anapiga kwa boss na boss ananiita mbele
yake mpaka natahayari,nimemwambia nimeolewa nna watoto4..

Anasema mungu akuweke lakini nifikirie na mimi, leo kaniletea cm iPhone 6 Plus kasema hii weka ili tuongee iwe ni mimi tuu nakupigia manake akipiga cm nakua sipokei simu zake.

Ananila roho sipati kusema na nimemwambia kanambia nisaidie kukutoa moyoni mwangu la sivyo .....
hakumalizia yani nasikia vibaya na yule Baba sio mdogo anafika 52 ebu wenye mawazo anisaidie
nakosa raha na huyu mbaba.

Inaonekana hofu yako ni umri mkubwa alokuwa nao lakini kwingineko u dont care
 
Silii mbele yake yeye ila nahisi dhiki sina wakumwambia langu nahisi vipi au natakaje, mamangu ndio alikua msiri wangu baada ya kufariki yeye sijazowea langu kumwambia mtu na ndio mana nalia sijui Kama unanifahu, yani it's not easy for me at all.. Nalia sina mshauri niko na dada zangu Lakini hawato nielewa naongea nini na sitaki mtu anipe kitu ile kunisikilizaa na nikafarika kua anafahamu naongea nini au nini dhamira yangu pia inatosha.. Wallah sorry nahisi Kama nakukeraaa na dhiki zangu, inshallah kheir....
Ohh, kwa hali nionayo waonekana shaksia ulielelewa na familia yenye maadali na adabu nzuri. Nakushajiisha uendelee kukomalia msimamo wako wakutodanganyika kiurahisi. Heshima kwenu wote na Maasalama mbeleni.
 
Habari za Mchana wana MMU

Kuna mbaba janamani aliwahi kuja kazini kwangu Boss akanambia nimsaidie kazi yake,basi amekua msumbufu
mara kaleta zawadi mara napenda harufu ya Perfume yako, na amekua kila anapokua na shida hata kama
yupo wa kumsaidia nilazima aje kazini kunitafuta,nikaanzisha kua akija wamwambie sipo,sasa Boss wangu
anajitia haelewi somo hata wenzangu wakimwambia hayupo anapiga kwa boss na boss ananiita mbele
yake mpaka natahayari,nimemwambia nimeolewa nna watoto4..
Anasema mungu akuweke lakini nifikirie na mimi,leo kaniletea cm Iphone 6 Plus kasema hii weka ili tuongee
iwe ni mimi tuu nakupigia manake akipiga cm nakua sipokei simu zake.

Ananila roho sipati kusema na nimemwambia kanambia nisaidie kukutoa moyoni mwangu la sivyo .....
hakumalizia yani nasikia vibaya na yule Baba sio mdogo anafika 52 ebu wenye mawazo anisaidie
nakosa raha na huyu mbaba.........​

Kuwa tu makini kwa kila unachokifanya ili ufanye maamuzi yaliyo sahihi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom