Wanaume wapi tumebugi

Wanaume wapi tumebugi

Hapo tu kwenye kulamba papuchi kama mbuzi naweka nukta.
 
Ni mfumo wa maisha hasa ulaji umeathiri sana maisha ya mwanaune kiasi kwamba kumekua na wimbi kubwa la wanaume wenye matatizo ya afya ya uzazi...
 
Nadhani ni suala la utandawazi tu, ndio limetuvaa vibaya watanzania wote, wanaume kwa wanawake. Wanaume tumeathirika zaidi na suala la mitandao, huku na wanawake wameathirika zaidi na suala la empowerment programs zisizo na boundaries. Amini usiamini haya masuala ndio yameifikisha hii jamii hapa, nadhani watanzania wote kwa ujumla wetu, tunapaswa kutathimini upya mienendo yetu, kama bado tuna ndoto ya kuishi maisha bora hapa duniani.
 
Zamani wanawake walikuwa
wanahangaika huku na kule
kumridhisha mwanaume,wanaenda kwa waganga,

wanagombana,wanajinyenyekeza,wanahudumia kama watumwa na waliishi kwa mashaka makubwa,

Siku hizi imekuwa kinyume chake yani wanaume tumekuwa obsessed na kumridhisha mwanamke, hofu ya
ubamia, hofu ya kutowaridhisha na
hofu ya kugongewa vimetawala

Watu wanakula mihogo mibichi na nazi
mbichi, watu wanakunywa konyagi bila kupenda, watu wanahonga na kulamba papuchi kama mbuzi..!!!!!!!?

nini kimetokea? wapi tumekosea?
Wapi tulizingua asee kuna Adam
mwingine nini amebugi?
Nimecheka sana mkuu
Utadhani mazuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom