Wanaume wangekuwa kama nyuki dume

Wanaume wangekuwa kama nyuki dume

1st AID

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2014
Posts
1,079
Reaction score
523
Sijafamu mpaka leo kwa nini Mwenyezi Mungu aliamua uzalishaji wa nyuki kuwa kamoja tu alafu kushineh (Ana R.I.P)

We kama mwanaume ungekuwa umetuaga lini? Je ni fair kweli hii?:wacko:
 
Mh. Kunywa maji gauge ishuke ukalale.

hujapata content au huelewi sifa za nyuki dume, katika maisha yao yote asilia 99.99 hufa bila kula papuchi...na anaekula hufa kwa raha....
 
naona unamuingilia mungu kwenye diary yake usome siri zake...
 
Nyuki anayekula papuchi ya malkia huwa ni mmoja tu,nwengine wote ni wasindikizaji. Na akimaliza kuila huanguka na kufa papo hapo! Wengine wote Papuchi huisikia 'redioni' tu
 
Nyuki anayekula papuchi ya malkia huwa ni mmoja tu,wengine wote ni wasindikizaji. Papuchi huisikia 'redioni' tu

kwa hiyo ukikubaliwa ndio ukabidhi na urithi....
 
Nyuki anayekula papuchi ya malkia huwa ni mmoja tu,nwengine wote ni wasindikizaji. Na akimaliza kuila huanguka na kufa papo hapo! Wengine wote Papuchi huisikia 'redioni' tu

Mkuu nyuki hawana redio!
 
Nyuki anayekula papuchi ya malkia huwa ni mmoja tu,nwengine wote ni wasindikizaji. Na akimaliza kuila huanguka na kufa papo hapo! Wengine wote Papuchi huisikia 'redioni' tu

Ina maana KE wangekuwa malikia ....kuna nyuki dume wengi wangekubali mauti yawakute kiroho safi!?
 
pia kuna wale wadudu wengne jamii ya panzi, dume akimla jike, utam ukiwa mwshon jike ananogewa hadi anamla dume kichwa,dume anadondoka na kufa
 
ingekua hivi, mwanaume akitaka kujiua, haina haja ya kunywa sumu, anatafuta papuchi murua then he kick the bucket
 
ingekua hivi, mwanaume akitaka kujiua, haina haja ya kunywa sumu, anatafuta papuchi murua then he kick the bucket

Kifo cha utam...nasikia kwamba kwa wadada ukimpata dume aliekufa kwa utamu ukamsaga nidawa balaa ya kunogesha papuchi!?
 
Nyuki anayekula papuchi ya malkia huwa ni mmoja tu,nwengine wote ni wasindikizaji. Na akimaliza kuila huanguka na kufa papo hapo! Wengine wote Papuchi huisikia 'redioni' tu

Mkuu hata swala mla papuchi kwenye kundi la majike ni Mmoja tu hadi apinduliwe baada ya mapigano makali
 
Back
Top Bottom