mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,496
hii ya nyuki haina ukweli wowote
Mgiriki Unaionaje Sheria ya mpya ya Misri kuhusu mke anae fariki....
sio ipo sku mpaka sasa shetan anaiogopa sana dhambi ya ufirauni.
Mwanadamu anapoanza kuf i ra iwe kwa mwanamke au mwanaume shetan hukimbia kabisa na hujificha ili asione hicho kitendo..
hivi kumbe neno "ufirauni" linatokana na neno "----"? Nilifikiri ufirauni unatokana na neno farao kumaanisha ukatili kama wa farao kwa waisrael na ndo maana kukawa na methali "ukishangaa ya musa utaona ya firauni"?
Alleged proposals to allow Egyptian
husbands to legally have sex with their
dead wives for up to six hours after
their death....and women have the right
to have sex with her dead husband.?
hivi kumbe neno "ufirauni" linatokana na neno "----"? Nilifikiri ufirauni unatokana na neno farao kumaanisha ukatili kama wa farao kwa waisrael na ndo maana kukawa na methali "ukishangaa ya musa utaona ya firauni"?
Alleged proposals to allow Egyptian
husbands to legally have sex with their
dead wives for up to six hours after
their death....and women have the right
to have sex with her dead husband.?
Mgirik ...ametumia assumption theory kisa... funolojia zinaendana. Badala ya kutumia Semantiki!
Wajuzi wa kiswahili wataelewa.
umejibu vzr kama ulikuwa kwenye ntu gwangu
kuna siku nilisoma kitabu kilikua kimeandika hivi, natafsiri kwa kiswahili. "nyuki ambaye ni mfalme kama hajapandiwa anatoa mayai ya majike watupu na akipandiwa anatoa mayai ya madume watupu" je! wewe unakubaliana nayo?Tupe ukweli mkuu ni upi! Labda wataalam wetu hawajaweka sawa takwimu!