Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Suti zinawakaa shukuru
Natamani kitambi aseee, niwe nafutia kioo cha infinix yangu.



Pole sana ila hongera kwa kujikubali, mtu mnene hata ukienda kuomba mkopo ni rahisi kupata



tena TPB BANK.


khaaaaah amemezwa.Alikuwa bado anakula huyo kinachonenepesha ni kula hakuna kitu kingine mabonge yanapenda kula mnoo



kweli kabisa yaanNilitupia siku nyingi siku moja nikachukua zangu laki sijarudi tena na wakata kila mwezikwanini lol


Watu wanene ni watu poa sana.Sema watu wanene hawana roho mbaya.
Watu wanene ni watu poa sana.