Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,681
- 40,883
Suti zinawakaa shukuru
Natamani kitambi aseee, niwe nafutia kioo cha infinix yangu.
tena TPB BANK.Pole sana ila hongera kwa kujikubali, mtu mnene hata ukienda kuomba mkopo ni rahisi kupata
khaaaaah amemezwa.Mwanaume ukiwa mwembamba sana nayo ni tabuView attachment 1809992
Haa haa haa mie mule nitakuwa na negativetena TPB BANK.
kweli kabisa yaanAlikuwa bado anakula huyo kinachonenepesha ni kula hakuna kitu kingine mabonge yanapenda kula mnoo
Kama mimi mikiwatongoza wananiita mzee
kwanini lolHaa haa haa mie mule nitakuwa na negative
Nilitupia siku nyingi siku moja nikachukua zangu laki sijarudi tena na wakata kila mwezikwanini lol
Watu wanene ni watu poa sana.Sema watu wanene hawana roho mbaya.
Watu wanene ni watu poa sana.