Wanaume wanene tunanyanyasika sana

Kuna jamaa bonge mwenzangu alianza mazoezi, akajinyima kula, akanunua madawa ya C9, akawa analipia Gym elfu 60 kwa mwezi na kuhudhuria kila siku.
Baada ya mwaka kilo ziliongezeka kutoka 105 hadi 119.
Kuna miili mingine ni ya kurithi. Kama imo imo tu.
 
Mwanaume ukiwa mwembamba sana nayo ni tabu
JamiiForums560178916.jpg
 
Kuna jamaa bonge mwenzangu alianza mazoezi, akajinyima kula, akanunua madawa ya C9, akawa analipia Gym elfu 60 kwa mwezi na kuhudhuria kila siku.
Baada ya mwaka kilo ziliongezeka kutoka 105 hadi 119.
Kuna miili mingine ni ya kurithi. Kama imo imo tu.

Alikuwa bado anakula huyo kinachonenepesha ni kula hakuna kitu kingine mabonge yanapenda kula mnoo
 
wanaume wanene tunanyanyasika sana,ukiwa unakula kitu kizuri anapita mwembamba utasikia,"UNAHARIBU MWILI WEWE".Nikipata dada mzuri hata kabla ya kufurahi naye utasikia hee"WE MNENE KWELI PUNGUZA TUMBO,bila hata ya kujali tumbo linabonyea.Mara nyingi tukiwa kwenye makundi tunashindwa kula kwa kujiachia kuhofia watu mwisho wa siku tunabeba sana take away,kwenye jogging club nyimbo zote za fedheha zinatuhusu,kwenye post card hatujawahi kuwekwa,na hatutumiki kwenye matangazo ya kuonyesha upendo zaidi ya kuwekwa kwenye KOPO LA MAZIWA,Sisi wenyewe tumejikubali kwa kukubali kupata shida kuinama,kufunga kamba za viatu,kuhemea juu juu,kushindwa kukimbia kula mzigo kwa shida LAKINI KIUKWELI SISI WANAUME WANENE NI ISHARA YA UVUMILIVU KWANI UWEZO WA KUZULULA NA MATUMBO YETU NI USHUJAA TOSHA,Mwisho wa siku wanene sisi tuna vimbinu vya kupata pesa.WANAUME WANENE HOYEEEEE
pia mnakula sana, yani bonge akikutangullia kwenye bufee umekwisha.
utaambulia salad peke yake.
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Tatzo tunawahi kuzeeka ila nachoshukuru vibaka wengi uswahilini hawanisogelei
 
Back
Top Bottom