Wanaume wanasema wanawake warembo tunakwama wapi?

Wanaume wanasema wanawake warembo tunakwama wapi?

Nawewe unajieka kwenye warembo?

Au kama vipi lipia tangazo.. Maana warembo wako insta
 
Yasemwayo yapo... ila..

Kila binadamu amaeumbwa tofauti, haijalishi ni mrembo au sii mrembo, ni mzuri au sii mzuri... ni mnene au mwembamba... ni mweusi au mweupe...

Huyu damu imelala, huyu damu imechangamka... mwisho wa siku utamu wa penzi ni hisia zako mwenyewe...




Cc: mahondaw
una akili sana dada....
 
Nope jibu kwa fact, kujikubali na kuwa.mzuri ni vitu viwili tofauti.

Anyway. Ucjali.
Unataka fact ya picha? Mimi ni mzuri tena haswa. Yaani ni mzuri bila hata poda.
Nimejuaje? Kwasababu kioo hakinidanganyi.
 
Unataka fact ya picha? Mimi ni mzuri tena haswa. Yaani ni mzuri bila hata poda.
Nimejuaje? Kwasababu kioo hakinidanganyi.
Sawa dia sijakataa kwamba wewe sio mzuri ila dia ukiwa mzuri kuwa makini na kuweka Jf Uzi wa kutafuta wachumba (Uzi uko love connect) mababazi wa humu wanaharibu wasichana sio watu wazuri. Kuna mmoja yalimkuta alikuja kulia humu Jf.
 
Ni mjadala ambao nimewakuta wanaume wanabishana sana

Walikuwa wanaume kama 6 hivi wakiwa kwenye kijiwe cha kucheza draft

Wanasema na nanukuu"Tunapenda wanawake hawa warembo lakini hawana lolote kunako sita kwa sita,unakutana na binti au mwanamke mrembo haswa,ila ukienda naye hana kitu ni urembo wa bure tu

Mwingine anasema,"Wanawake weusi halafu sio wazuri sana ndio wanaoweza mchezo,anakupa ushirikiano mwanzo mwisho mpaka unanyosha mikono mwenyewe,lakini warembo hawa ukishakojoa au ukamkojolesha,mchezo unaofuata ni kama unambaka,wengne hukataa

Mwingine akasema,hasa wanawake super stars na wanaojiita wasomi,ukiwa naye sita kwa sita,unaweza ukajilaumu mwenyewe,au ukiwa naye kwenye mahusiano,kukupa penzi labda yeye ajisikie kukupa sio wewe utake

Mwingine akadai,yeye alikuwa na mwanamke ila hakuwa mrembo sana,urembo wake ulikuwa wa kutafuta kwa manati,akaja akadate na mwanamke mrembo balaa,moja kwa moja akakataka mawasiliano na yule wa mwanzo ili asimuharibie na mke wake mpya,siku amepewa penzi alijutia kukata mawasiliano na baby wake wa mwanzo,walivyoendelea ikabidi amuombe msamaha mke wa mwanzo waendelee

Wanawake warembo jamani tunakwama wapi?
Uzuri wa mkakasi kwa nje, ndani kipande cha mti...
 
Back
Top Bottom