MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
kupaliwa nilicheka kwa kauli yake tu ila sio maudhui ya kauli ile
Hahahaha uchafuzi gani wakat ww ulifurahi mpk ukapaliwa
Hahahaha uchafuzi gani wakat ww ulifurahi mpk ukapaliwa
kupaliwa nilicheka kwa kauli yake tu ila sio maudhui ya kauli ile
ni kweli lakini ninyi wanaume huwa mmezidi amuwezi kuficha hivyo viduduKwa ujumla hamna asiyecheat, huwa tunatofautiana rate ya kucheat tu....
Sent from my iPhone using JamiiForums app
ni kweli lakini ninyi wanaume huwa mmezidi amuwezi kuficha hivyo vidudu
Mi changu nakificha mbaya, na kufuli juu, funguo anashika mhusika tu.
Sent from my iPhone using JamiiForums app