Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
aaah nyie noma sometimes mtu haachi traces
Mm nataka nkuchepue sasa
aaah nyie noma sometimes mtu haachi traces
Hahahaha si unaona sasa mlivo!!!??Mm nataka nkuchepue sasa
Hahahaha si unaona sasa mlivo!!!??
mh ni perception tu na vile ni la wizi........Unajua mchepuko una penzi motomoto nackia
mh ni perception tu na vile ni la wizi........
Hahahaha ni roho tu ya uzinzi na nguvu ya dhambi inafanya lionekane bora zaidi........Serious nakwambia...ww hutaki tuwe tunaibia?
Hahahaha ni roho tu ya uzinzi na nguvu ya dhambi inafanya lionekane bora zaidi........
hahahahahaha unataka kutengeneza mchepuko wa ngapi????Hahahahaha...acha uchoyo ww
Ni kweli lakini sasa wanaume ndo nature yao huwa sijui nakosea lakini huwa nawafananisha na beberu Mungu anisamehe...
Ni kweli lakini sasa wanaume ndo nature yao huwa sijui nakosea lakini huwa nawafananisha na beberu Mungu anisamehe...
hivi majina ya form v hayajatoka tu? maana hawa wanafunzi wamezidi humu ndani
Mimi ninamsapoti mtoa mada ila inaelekea watu hawajamuelewa yeye anazungumzia wanaume ambao WAMEOA ambao wanaacha ndoa zao na kuchepukia kwa wengine ambao either wanandoa au hawajaolewa
haswaaaa huu ni uchafuzi aisee nshachukua tahadhariKwa nini kama kanogewa na wewe asikuchukue jumla anasubiri mwingine abebe halafu awe anaiba! Mwangalie sana huyo mchafuzi
Sasa kama unampa vzr afanye nn?
hana lolote ni uchafuzi tyu