Wanaume wanaongoza kwa michepuko

Wanaume wanaongoza kwa michepuko

hivi majina ya form v hayajatoka tu? maana hawa wanafunzi wamezidi humu ndani
 
Ww hupendi kubembelezwa?...hujawahi kuwa mchepuko?
Napenda kila msichana anapenda na hapo ndo mnatumia kutapeli na kutengeneza michepuko.....
Niliwahi bila kujua thanx God sikwenda mbali nikajua nikachapa lapa
 
Napenda kila msichana anapenda na hapo ndo mnatumia kutapeli na kutengeneza michepuko.....
Niliwahi bila kujua thanx God sikwenda mbali nikajua nikachapa lapa

Sasa hivi upo njia kuu?
 
kwi kwi kwi kwi

uuuups

watu wabadili tabia wanawake na wanaume
 
Kama kuna ukweli vile, kwa mbaaaaaali, ila wadada huwa wanazingua sometimes, wap ndip source ya vijana kuchepuka. Na wenyewe wabadilike bana wajue majukumu yao.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
salute kwao kuna mmoja kanambia hata nikiolewa lazima anitafute ati awe anapiga mechi ahahahahaaaa nilicheka hadi kupaliwa nikasema siwezi akajibu kumbe elimu yako haijakusaidia bado? asa nashangaaa kwani lazima
 
Mimi ninamsapoti mtoa mada ila inaelekea watu hawajamuelewa yeye anazungumzia wanaume ambao WAMEOA ambao wanaacha ndoa zao na kuchepukia kwa wengine ambao either wanandoa au hawajaolewa
 
Kataa au bisha ila ukweli ndo huo. Wanaume asilimia mia tisa tisini na tisa point tisa wanachepuka. Ni ngumu kwa wadada walio olewa au kuwa na wachumba/boyfrends kutoka nje ya mahuaiano ila wa kaka nawapa salute kwa ilo.

Na ata akikutana na ex wake na tayari keshaoa bado atataka kugonga.

Badilikeni jamani ukimwi
Hiyo ndio habari mwanaume aliokamilika hawezi kuwa na mwanamke mmoja,mwanamke mmoja anakuwa mama mzazi peke yake,ukiona mwanaume ana mke mmoja ujue huyo ameshindw
Mke
 
salute kwao kuna mmoja kanambia hata nikiolewa lazima anitafute ati awe anapiga mechi ahahahahaaaa nilicheka hadi kupaliwa nikasema siwezi akajibu kumbe elimu yako haijakusaidia bado? asa nashangaaa kwani lazima

Sasa kama unampa vzr afanye nn?
 
Hiyo ndio habari mwanaume aliokamilika hawezi kuwa na mwanamke mmoja,mwanamke mmoja anakuwa mama mzazi peke yake,ukiona mwanaume ana mke mmoja ujue huyo ameshindw
Mke
mbona unatutisha???
 
Kwani wanachepuka na mbuzi? Na kama ni wanawake basi ngoma droo maana kuchepuka ni makubaliano ya pande zote mbili. me&ke
 
Utafiti wako umeufanya eneo gani? na sampo yako ilikuwaje?

kwa asilimia hizo ulizotaja...nilitegemea ungeweka details za kutosha na si kulazimisha i.e. kusema tukubali au tukatae. Tushawishi tafadhali kwa maelezo na ushahidi uliokamilika na wa kutosha
 
Shida ipo kwa wanawake. Wakishaolewa wanaota mapembe, na sikio linazidi kichwa. Samahani lakini.
 
salute kwao kuna mmoja kanambia hata nikiolewa lazima anitafute ati awe anapiga mechi ahahahahaaaa nilicheka hadi kupaliwa nikasema siwezi akajibu kumbe elimu yako haijakusaidia bado? asa nashangaaa kwani lazima

Kwa nini kama kanogewa na wewe asikuchukue jumla anasubiri mwingine abebe halafu awe anaiba! Mwangalie sana huyo mchafuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom