KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,513
Nakupenda mrembo sio siri,wewe unanifanya mimi silali,nimekuita PM wala hujali,kumbuka mapenzi ni kushare au vipi?useme nn??
Nakupenda mrembo sio siri,wewe unanifanya mimi silali,nimekuita PM wala hujali,kumbuka mapenzi ni kushare au vipi?useme nn??
sijaionaWe Princess,kwanza hujajibu PM yangu,hivi nimekukosea nini?
we unashare na nani??Nakupenda mrembo sio siri,wewe unanifanya mimi silali,nimekuita PM wala hujali,kumbuka mapenzi ni kushare au vipi?
bibie..wewe juzi si ndio umekuja na mfano picha wa aina ya mwanaume anayekuvutia?....vigezo vyote alivyokua navyo leo hii unavichukia tena?!?..yamekuwa hayo?!...hizi pilau za christmas hizi!!!!
Weka picha ya kijana anaevutia
Thread by: Dinazarde, Dec 11, 2016, 253 replies, in forum: JF Chit-Chat
Linakatika utafikiri kavunjwa au kabenwa kiunoLimwanaume linakatika hahaha
Mbona ndo anaongoza kwa kutunzwa?!Sio yeye tu wengi mno christian bela,
Niko Chuga ugenini,natafuta wa kushare nae mamii.we unashare na nani??
kwann hukuja na wife sasaNiko Chuga ugenini,natafuta wa kushare nae mamii.
Sina wife baby,ningekuwa nae usingeniona humu,natamani nami nipate wife hivi karibuni,ndio maana unaniona najaribu bahati humu,ingawa wengi wanafikiri kupata mrembo wa maisha humu haimwezekani,hapana sio kweli coz humu kuna wanawake wengi waliopitia maisha na wanajua maisha ni nini?pia wako huru kama mimi nitajiongeza na kuwaheshimu,basi tunaweza kuwa mwili mmoja mpaka kifo kitutenganishe baby au vipi?kwann hukuja na wife sasa