Wanaume wanaocheza mziki

mbona kucheza kawaida sana
sasa ngoja siku utawaona MADANCERS WA TAARAB ndo utasema afadhali ya wengine
 
kwann hukuja na wife sasa
Sina wife baby,ningekuwa nae usingeniona humu,natamani nami nipate wife hivi karibuni,ndio maana unaniona najaribu bahati humu,ingawa wengi wanafikiri kupata mrembo wa maisha humu haimwezekani,hapana sio kweli coz humu kuna wanawake wengi waliopitia maisha na wanajua maisha ni nini?pia wako huru kama mimi nitajiongeza na kuwaheshimu,basi tunaweza kuwa mwili mmoja mpaka kifo kitutenganishe baby au vipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom