Na yule wa kwao pia.Sio yeye tu wengi mno christian bela,
Ngoja yule dada aje aone unavyo msema Ally.....mambo ya
Ali "K" hayo..
hanaga style nyingine..
dada gani? mkuu..Ngoja yule dada aje aone unavyo msema Ally.....
dada gani? mkuu..
Ukiosoma kwa kufumbua macho kodo....Ahahhahah
dada gani? mkuu..
Domo yy kaz yake kukalia tu kuikatikiamambo ya
Ali "K" hayo..
hanaga style nyingine..
Sasa Christian Bella Ana Kakitambi Kidogo, Mtu Mwenye Kitambi Akikata Mauno Anakuwa Kama KatuniSio yeye tu wengi mno christian bela,
Mhhhh.....Ahahhahah
Unataka niseme?weusi pia hawanaga hizo mambo
Ndo maana nakupenda sana Dina,naomba ulete mrejesho khs yale niliokupa pale Peacock hotel au vip? usione haya baby au vipi?Hivi ni kwanini wanaume wanakatika sana wakiwa wanacheza mziki wanamaanidha nini,,,,yaan sipendi kabisa kuona mwanaume akikata mauno ,hata hawa wasanii wetu wanaudhi na kukera aisee ,,hamumuoni Darasa anavaa vyema ,havai hereni,anavyocheza sasa kigentlemen mpaka unapenda tu kumuangalia ,,hivi na kina chriss brolwn wanakatika hivi kweli sijawahi ona,,,hayo mauno mnayokatika hadharani hebu yapelekeni kitandani kwa wake zenu au wapenzi wenu
Napenda sana mwanaume mgumu ,akicheza mziki acheze kiuanamme ,mfano fd q hua hakatiki na yuko poa tu
Sasa ukienda club sehemu za starehe wanaume wanakatika unakuta limtu linakatika linataka licheze nawe aisee hua sitaki kabisaa,mwanaume unakatika ya niniii?
Jifunzeni basiii kupitia hawa kina darasa,joh makin,niki wapili na vijana wengine wanaocheza vyema tu,hayo mauno katikeni kwenye viuno vyetu kama mnajua kukatika kweli bana
Yaan wanaume wanaokatika wakiwa wanacheza mziki wanakeraa aisee na vinguo vyenu vya kubana,
Tusameheane tu ila ukweli usemwee
We Princess,kwanza hujajibu PM yangu,hivi nimekukosea nini?naona darassa kadhakua mfano wa kuigwa
Tanzania tunaongoza kwa Unafiki. Amizing.bibie..wewe juzi si ndio umekuja na mfano picha wa aina ya mwanaume anayekuvutia?....vigezo vyote alivyokua navyo leo hii unavichukia tena?!?..yamekuwa hayo?!...hizi pilau za christmas hizi!!!!
Weka picha ya kijana anaevutia
Thread by: Dinazarde, Dec 11, 2016, 253 replies, in forum: JF Chit-Chat
useme nn??Unataka niseme?