Wanaume wanahangaika sana

Mkuu.... kama tayari umesha achana na mtu, kwani unapata nini ama unamthaminisha ili iweje...!!?? Then baada ya hapo ili nini kiwe...!!??
Kimsingi ukimuona yeyote mwenye bado anamfuatilia ex wake, basi ujue huyo mtu bado anamaumivu
Sijui upande wa kiumeni labda ww umeongelea kwa upande wenu ila sisi ke tunataka kuthaminisha, kanizidi! hata ukusikia bwana wa rafiki wameachana ana demu mwingne maeneo ambayo ww upo lazima utataka kumjua ulinganishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan Hiyo nyapu yako Ina dhahabu kenge ww
Tena ilivo kama kokwa la embe lililokanyagwa na gari ina maji mengi Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu mpe binadamu mwenzio heshima yake plz.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Unaongea sana Kwa uchungu dada ?? Naona umejuta kumuachaaa sasa ameokotwa kanaweza kuwa kabaya lakini kakampa utamu kuliko uliokuwa unampaaa weew .....poleeeee hahahahahaahahah poleeeee bwabwahuahuabahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…