Wanaume wana mbinu, Wanawake wana mitego

Mwanamke kiumbe ambaye alikuja duniani sisi wanaume tukiwa katika usingizi mzito, sijui alifundishwa kitu gani wakati tumelala
 
Dah ni noma sana
 
Aaah swala la kudindisha inategemeana na jinsi yako ila kwa sisi wanaume ni kawaida akikaa Uchi itaenda juu tu,ila kwa vile wewe umesema mtu pekee maybe hauna upande wowote au unafanana nao!
Hahahaha..kweli ni mtu pekee huyu jamaa.

Mimi hata nikiona chupi zinauzwa dukani huwa napiga picha moja matata sana pale papuchi inapokaa.

Huwa najikuta kitu inasoma mlemle

Kwamba anafanana nao[emoji1]
 
Bjbj, wanaume kwa mwanamke ni kama mkate mbele ya chai.
Samson mbabe wa dunia, aliangushwa na mwanamke.
Suleiman na hekima zake zote aliangushwa na WANAWAKE.
Bila akili mwanamke anakuangusha ndani ya sekunde sita na nusu
Wewe ndio mkate, usitujumuishe wote
 
Hahahaha..kweli ni mtu pekee huyu jamaa.

Mimi hata nikiona chupi zinauzwa dukani huwa napiga picha moja matata sana pale papuchi inapokaa.

Huwa najikuta kitu inasoma mlemle

Kwamba anafanana nao[emoji1]
Hahaaaahaha mwanaume mwenye damu nyekundu hawezi kukwepa mkuu hilo jambo kirahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…