Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 892
Kuna harusi ya bestie yangu nilihidhuria kama miaka mitatu iliyopita, ukafika wakati baba kutoa mawaidaha, akamwambia mwanangu ni marufuku kuchungulia mfuko wa suruali ya mume wako au wallet au briefcase. huyu mzee alikuwa anajua maumivu ya roho unayoweza kuyapata mtu pale unapoangalia mfuko wa mwenzako umejaa halafu unapotoa list ya matumizi unapewa kiasi kisichofika hata robo ya kile ulichohitaji na hapa naongelea matumizi muhimu.
Siku hizi wanawake wengi sana wanalalamika waume zao hawatekelezi majukumu yao, Matumizi ya nyumbani kama chakula, kodi ya nyumba, nishati nk ni kama kero kwao. unaweza ukamwambia mtu gesi imeisha jibu utakalopata kwanini msitumie mkaa au mbona gesi imeisha haraka hivyo au mnapikaga nini na hiyo gesi wakati hakuna siku imepita hajala milo si chini ya mitatu kwenye hiyo nyumba. na gesi medunda nayo miezi miwili.
Kwa ujumla wanaume wengi siku hizi are running away from thier responsibilities. Hata kama mke anafanya kazi ni muhimu sana mkakaa mkapanga mipango yenu nasidhani kama mama atadai fedha kama anajua ni za shughuli fulani
Siku hizi wanawake wengi sana wanalalamika waume zao hawatekelezi majukumu yao, Matumizi ya nyumbani kama chakula, kodi ya nyumba, nishati nk ni kama kero kwao. unaweza ukamwambia mtu gesi imeisha jibu utakalopata kwanini msitumie mkaa au mbona gesi imeisha haraka hivyo au mnapikaga nini na hiyo gesi wakati hakuna siku imepita hajala milo si chini ya mitatu kwenye hiyo nyumba. na gesi medunda nayo miezi miwili.
Kwa ujumla wanaume wengi siku hizi are running away from thier responsibilities. Hata kama mke anafanya kazi ni muhimu sana mkakaa mkapanga mipango yenu nasidhani kama mama atadai fedha kama anajua ni za shughuli fulani