Wanaume wa wanawake wafanyakazi

Kama hata lunch huwezi kujinunulia kazini unaenda kufanya nini?? Kunyosha miguu? Si ukae nyumbani tu ulee watoto kupunguza gharama za familia?

Ajabu mwe! sa hiyo ni kazi nayo au kitu gani? kuomba omba ni hulka ya mtu kuna midume mingine na familia zao lakini kutwa kuomba omba so hiyo ni tabia mbaya tu sio kwamba mume hakujali wala nini. Ukishafikia hatua hii na unafanya kazi ufe tu wakuzike huna faida duniani.
 
Ajabu mwe! sa hiyo ni kazi nayo au kitu gani? kuomba omba ni hulka ya mtu kuna midume mingine na familia zao lakini kutwa kuomba omba so hiyo ni tabia mbaya tu sio kwamba mume hakujali wala nini. Ukishafikia hatua hii na unafanya kazi ufe tu wakuzike huna faida duniani.
<br />
<br /
Punguza ukali maty. Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua sasa kama yeye anataka kuishi hivyo tumtakie kila la kheri ila kwa TZ yetu atasubiri sana.
 
Hiyo ni kama mazoea na mazoea hujenga tabia, hata kama hiyo pesa ya lunch anayo mfukon ataomba tu
 
Ajabu mwe! sa hiyo ni kazi nayo au kitu gani? kuomba omba ni hulka ya mtu kuna midume mingine na familia zao lakini kutwa kuomba omba so hiyo ni tabia mbaya tu sio kwamba mume hakujali wala nini. Ukishafikia hatua hii na unafanya kazi ufe tu wakuzike huna faida duniani.
hapo sawa kabisa Maty
 
<br />
<br />
dada rose we ndo umemaliza kabisa unafaa kua mfundaji umempa mwenzako darasa la kutosha inafaa akuchek ata na credit kadhaa kama sio asante ya mdomo, yani mi mpaka namuonea wivu mumeo unaonekana kua na upeo tofaut na madem wengi wa leo utakuta mnafanya kaz sehemu moja mshahara mmoja lkn atataka umlipie nauli, umpe msos, na wekend umtoe out zake kibindoni na hapo ujamuoa we unafikiri kuna nini apo kama sio kumchungulia na kumkimbia coz now days ndo style ya madem wengi yuko radhi ata awe na mabwana wengi ka anajiuza ila kutumia pesa zake kwa basic needs ni dhambi ye zake ni kupiga pamba tu na ndo maana tunawapiga vibuti kila siku mwisho wa siku wanatuona tuna matatizo kumbe wao ndo chanzo ila hawajajua tu, bg up 2 u kwa darasa zuri na hii ni kwa mabiishost wote wenye matabia ka hizi bana au sio.



thax dear...
chanzo cha mtu kutokuwa na huruma na ela ya mwenzie ni UCHOYO TU....
km mshapanaga ebana ela i ni ya ivi na ile ni ya ivi we yako fanya ivi ..sasa utaaanzaje asubui kuanza kumwamkia mwenzio na vbomu...

maji alipe,luku alipe,msosi home alete.mafuta gari....APO BADO KWELI UNAONA AKUJALI mpk akupe ela ya lanch?duhh mi naona u ni unyonyaji by the name of love....

mi apana kwakweli namwomba mungu nisibadilike apo baadaye bt for now AIWEZEKANI UKAMFANYA BOYFREND/MUMEO km vile ATM..I MAY CAL it dhambi.
 
Huna haja ya kuomba kila kukicha asubuhi, mwenyewe anajua tu, pocket money per month kiasi fulani mwenzangu,petrol kias fulani kama huwekewe ofisini, other expenses kiasi fulani,
PHP:
looooo kutunzwa raha mwenzangu
 
Jamani kuna kitu kinanishangaza utakuta mwanamke ameolewa na mume wake anao uwezo kawaida ila saa ya lunch anaomba omba vioffer ivi wanaume mnashindwa kuwapa wake zenu ela ya lunch?
Mi na wish nipate mwanaume atakaenicare kwa vitu kama ivo jamani anipe nauli na hela ya lunch ata kama ninayo.i will be broud of him.so wanaume kuweni na moyo wa kuwajali wake zenu


Sasa mpenzi kwa nini unajichosha kufanya kazi, wakati hata haikusaidii, bora ukae nyumbani ujipikie chakula kizuri ule na mmeo
 
Ni njaa tu za ajabu!!

Kama wewe mwenyewe unafanya kazi unakosaje pesa ya lunch mpaka uombe ombe?!Au ndo yale we unaweza kuafford chapati na soda ila unachotamani na kutaka kula ni chips kuku au burger?!

Alafu na mwanaume akikupa wewe pesa ya lunch kula siku na yeye anapewa na nani?!Kama huwezi kuafford kununua lunch beba kiporo nenda nacho kazini.Hamna haja ya kutamani vitu usivyo na uwezo navyo mpaka kuishia kuomba omba.Maana siku utakayoambiwa ulipe madeni ya watu ndo utakoma!!

Me luv you Lizzy
kwa kweli, ujue wanawake wengi wamezidi kujiendekeza. Jikune pale unapoweza kufikia, ndo walewale ambao utakuta hata family zao haziendelei kwa sababu ya mama kupenda anasa. "Mwanamke mwerevu huijenga nyumba yake mwenyewe, na mwanamke mpumbavu huibomoa kwa mikono yake". Kalagabaho!!!!!!!!
 
Huna haja ya kuomba kila kukicha asubuhi, mwenyewe anajua tu, pocket money per month kiasi fulani mwenzangu,petrol kias fulani kama huwekewe ofisini, other expenses kiasi fulani, looooo kutunzwa raha mwenzangu

Kutunzwa kweli raha mpenzi, ila kisa unatunzwa ndio hela yako kibindoni hata chakula chako mwenyewe kujinunulia unashindwa kha! si hata mtoto akiishiwa kaptula au sketi utamwacha atembee na madabwada mpaka baba amnunulie, wapo wanawake wa hivyo wenyewe wanapendezaaaaaaa kaangalie watoto wake nyumbani kama machokoraa
 
Vipato vya wanandoa ni mali ya wote hvyo kila mmoja apatapo aweke wazi kwa mwenzake na matumizi yake ni vyema kushirikishana. Kusema eti usipopewa na mume ni kutokujali ni ufinyu wa mawazo.
 
Jamani kuna kitu kinanishangaza utakuta mwanamke ameolewa na mume wake anao uwezo kawaida ila saa ya lunch anaomba omba vioffer ivi wanaume mnashindwa kuwapa wake zenu ela ya lunch?
Mi na wish nipate mwanaume atakaenicare kwa vitu kama ivo jamani anipe nauli na hela ya lunch ata kama ninayo.i will be broud of him.so wanaume kuweni na moyo wa kuwajali wake zenu
Hapo kwenye Red Kama mambo yenyewe ndop hivyo naomba Mungu asikupe mume wa kukuoa, Iweje uwe mfanyakazi halafu nauli ya kazini atoe mume ?
 
Kwa sampuli hii ya utegemezi kupita..kumbe ndiyo maana soko la mwanamke wa kichaga liko juu sana..!
 
waambie mwaya....
hao ndio wanat.....ombewa wake zao......
mwanaume lazima ujue mkeo kala nini haloooooooooooooooooooooooooooooooooo!
 
ehhh makubwa aya so km baba wa family basi ata ped akununulie?ata km unamshahara wako?
mwanaume wa daily asubui...bibieee ehhn chukua ela apo juu ....ukichek kitwenty ivi...na kesho pia akupe,...

Kazi atakuwa anafanya ya nini sasa?

badala ya kuwaza kitoto like kupenda upewe tu /utumbue tu pesa za mmeo kwa jina la CARE..ni vyema mkakaaa chini mkapanga woote pesa zenu/zake mzifanyie nini..

like...ths month kwa chakula apa home tutumie sh 8

Haihitaji bunge kuketi Dodoma kupanga bajeti... mwanamke mwenye kujua wajibu wake atajua anatakiwa kuchangia nini katika kendesha familia.

PESA SI ISHARA YA CARE MAMA...thk fresh
Kweli kabisa.

Mwisho ...nitasema hivi:
Mwanamke kama unafanya kazi basi hata faida ya wewe kufanya kazi ionekane. Mwanamke tegemezi huwezi kuheshimiwa na familia yako.Hata watoto wako watakuwa wanaona huna tofauti na wao kwa maana uko tegemezi! Watoto wanapokuona uko financially independent wanajisikia furaha na proud kuwa na mama kama wewe.

Pia kama kazi yako haikuwezeshi hata kujinunulia lunch na vitu vidogovidogo basi huna sababu ya kufanya kazi,Kwani huko kazini unaenda kuuza sura?
 
thax dear...<br />
chanzo cha mtu kutokuwa na huruma na ela ya mwenzie ni UCHOYO TU....<br />
km mshapanaga ebana ela i ni ya ivi na ile ni ya ivi we yako fanya ivi ..sasa utaaanzaje asubui kuanza kumwamkia mwenzio na vbomu...<br />
<br />
maji alipe,luku alipe,msosi home alete.mafuta gari....APO BADO KWELI UNAONA AKUJALI mpk akupe ela ya lanch?duhh mi naona u ni unyonyaji by the name of love....<br />
<br />
mi apana kwakweli namwomba mungu nisibadilike apo baadaye bt for now AIWEZEKANI UKAMFANYA BOYFREND/MUMEO km vile ATM..I MAY CAL it dhambi.
<br />
<br />
kweli uko deep sana washichana wote mngekua hivyo ningewaoa ka mswat.
 
waambie mwaya....<br />
hao ndio wanat.....ombewa wake zao......<br />
mwanaume lazima ujue mkeo kala nini haloooooooooooooooooooooooooooooooooo!
<br />
<br />
we utauza utu wako kwa ajili ya kupenda kukunwa ata unapoweza jikuna afu we unaonekana mgawaji eeeh?
 
Back
Top Bottom