huko facebook ni MAJANGA...watu wamemnyea kinoma...laiti na huku kungekua hakuna jela,ningefanya kitu....
Kwani anadanganya?
...kuna mdada humu ana shobo kama za diva...nahisi ni mbaya hakuna mfano!...simo!
Aisee kule ni balaa, kidogo macho yapofuke.
hadi wamemuanzishia page ,kudadek unajenga nyumba ya vioo unachokoza watoto wa uswazi lazma wa kufanye vibaya
wakaka wamekuja juu,kwa maneno na kashfa tele kwa dada wa watu....kafueni boxer....................hehehhhehe embu nicheke mie....
Hata siungani wala sipingi . .
Nasema tu muwaridhishe wale wanaounga mkono hoja.
Mkirua Kuweni na pair 5-7 za boxer na soksi ili muweze kubadilisha kila siku na kufua mara moja kwa wiki kama muda ni tatizo.