MarianaTrench
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,212
- 942
Alihama nchi kumbe?Hivi dogo form four ulishamaliza? Au ulivyohama nchi shule hukuendelea nayo!
Khaaa basi huko alikoenda wamemvuruga.
Alihama nchi kumbe?Hivi dogo form four ulishamaliza? Au ulivyohama nchi shule hukuendelea nayo!
Kuna mdada mmoja wa kitanzania alikuwa anawafuja sana wanaume wa kitanzania baada ya kuachwa na mtanzania mweziwe. akisema hawapo romantics sijui wavivu sasa akabahatika kupata mzungu miezi kama sita alikuwa akiandika uzi hapa kila siku anatukana wanaume wa kitanzania. Baada ya miezi 6 yule mzungu aliwacha kazi akaanza kuwa mlevi na kuanza kumpiga kichapo yule mdada kila siku. Sasa kuna siku akampigia simu jamaa wa kitanzania amsaidie kutokana amechoshwa na huyu mzungu. Ninachojaribu kusema usifuje chako bila kujua cha mwenzako. Kule Kenya kuanza kukuita wewe dada kuja hapa. Na ukibahatika kwenda kwa kina Nyani ngabu na The Boss kule club zao kutongoza yao Let me f@%k dat pu$$y tonight.Wakatongoza wanaongea uongo uongo mbaya ukigundulka unaachwa, mwingine anatongoza huku anakuita mdogo wangu au dada.
Sasa angekuwa dada yako au mdogo ako ungemtongoza? Kama mdogo wako kwanini unitongoze, kukosa adabu.
Hahahaa, bado nakutafakari ni nanii atakufaa zaidi,mo dewji ,bakhresa ,manji etc maana hawa ndio wanaozipeleka benki wengine tunasindikiza tu....Hahahaaaa! Kwani benki ina hela? Bila watu benki ingekuwepo? Nawataka hao wanaozipeleka huko benki.
Hahahaaaa! Kwann wasitokee akina hao wengine wengi zaidi ili choices ziwe nyingiiiii.Hahahaa, bado nakutafakari ni nanii atakufaa zaidi,mo dewji ,bakhresa ,manji etc maana hawa ndio wanaozipeleka benki wengine tunasindikiza tu....